Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
Mwenyekiti wa UDP amemshauri bwana Rostam kuachana na siasa na kufanya biashara kwani upepo wa kisiasa nchini kwa upande wake ni mbaya mno, amemshangaa kukaa kimya licha ya tuhuma lukuki zinazomwandama.
Source: Mlimani TV
Maoni yangu
Namuunga mkono Cheyo lakini hata akiacha siasa arudishe pesa zote alizokwiba from his dirty deals na ajisalimishe mwenyewe Polisi.
nilidhani anamshauri aache ufisadi!!!!