Rose Muhando atunukiwa stashahada Sierra Leone

Rose Muhando atunukiwa stashahada Sierra Leone

Ukoka kwanza upate Elimu ya hilo swali maalim

hilo neno halina uhusiano na kuokoka ! hao wenye neno ndo waliomuua Yesu !.........na hawalimaanishi hilo neno kama lilivyo, ndo wachochea fitna wakuu !
Neno hilo maana yake ni 'salama' !
 
Sema Hongera Rose Muhando. I have said this before and I will repeat again for those who do not want to understand. All proper nouns begin with a capital letter. A person's name is a proper noun. Sema Asante Mwaalim

Naona ume repeat again Mkuu.
 
hilo neno halina uhusiano na kuokoka ! hao wenye neno ndo waliomuua Yesu !.........na hawalimaanishi hilo neno kama lilivyo, ndo wachochea fitna wakuu !
Neno hilo maana yake ni 'salama' !

Kumbe ni salama sasa mimi nilidhani nitusi" je Takfiri ina maana gani kwa Lugha ya allah?
 
ROSE MUHANDO ATUNUKIWA STASHAHADA SIERRA LEONE.


th



Malikia wa mzuiki wa Injili Tanzania Rose Muhando ametunukiwa Stashahada na cheti cha kutambua mchango wake katika kueneza amani na mshikamano kupitia nyimbo za injili.Stashahada hiyo alitunukiwa na Chuo Kikuu cha
Africa Graduate cha nchini Sierra Leone katika hafla iliyofanyika mjini Moshi hapa mwishoni mwa wiki.
Akimtunuku Stashahada hiyo mkuu wa chuo cha Afrika Graduate,Dr,Timothy Kazembe,alisema chuo hicho baada ya kurizika na kazi za mwimbaji huyo katika muziki hasa muziki wake wa injili,ambao umekuwa ni chachu ya ukombozi kwa watu wengi.

Shida kubwa inawezekana hata hajui kama nyimbo zake zimefika Sierra Lione na zinasikilizwa kiasi cha mchango wake kutambulika kiasi hicho.
wanaovusha ngambo hawajulikani,
wanaofaidika hawajulikani ingawa anayestahili kufaidika nazo yupoyupo tu na ana msaada mkubwa kwenye kampeni za chama tawala na serikali yake sikivu.
 
Hakuna mwanadamu atakayemsaidia Mungu kumuhukumu mwanadamu mwenzake. Yawezekana nyinyi mnaowahukumu wengine kuwa wanakata viuno mnazo dhambi nyingi kuliko wakata viuno, yawezekana nyinyi ni wanafiki, wazinzi watukanaji, waasherati, wafitini, wauaji, wazandiki, waongo na mabaya mengine. Bidii ya mtu ndiyo inamfanikisha, Rose anafanya kazi zake kwa bidii, achenh wivu.
 
Kwani nani alisema mziki wa injili hutakiwi kukata viuno?
Uoga wako ndiyo umasikini wako mkuu!

hapana nyimbo za injili hakuna viuno, sizikubali video zake ila nyimbo zake nyingi ni nzuri na zina ujumbe, nikiwa kama mtanzania napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza!
 
Huyu ndie mwaka alitakiwa kufanya onesho karatu mjini hakufika ikabidi FFU wafike kutoa maelekezo, songea pia
 
Nimekupa maana ya neno Bolingo lenyewe alafu si muwe mnafocus kwenye ujumbe basi sasa nyie mmekazana kucriticise tu utafikiri yeye ndio kaanza kucheza na Mfalme Daudi mumuhukumu.

Wacha watu wamchezee YESU kama ni viungo na nguvu kawapa yeye wasio navyo wanatamani wangekuwa navyo wampe MUNGU sifa na utukufu cos ndivyo Bible inavyosema nyie wengine mnapinga tu.

ila sishangai kwani ndio athari ya mapokeo ya madhehebu tofauti.

Mfamle Daud aliomba msamaha wewe! Yesu hachezewi,sema unamchezea shetani ila unafunika uovu wako kwa kumtumia YESU vibaya.MUNGU anakuona wala hata kuacha.
 
Mfamle Daud aliomba msamaha wewe! Yesu hachezewi,sema unamchezea shetani ila unafunika uovu wako kwa kumtumia YESU vibaya.MUNGU anakuona wala hata kuacha.

Umetoa wapi hilo andiko linalokataza kucheza,au unapendekeza biblia ikataze waumini kucheza kwenye Ibada?soma Zaburi 150:4
 
Sema Hongera Rose Muhando. I have said this before and I will repeat again for those who do not want to understand. All proper nouns begin with a capital letter. A person's name is a proper noun. Sema Asante Mwaalim

hivi huyu yuko ulimwengu gani?! mambo hayo mpelekee mwalimu wako wa sarufi sekondari!
 
Back
Top Bottom