Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,368
- 10,381
Ronaldo hana akili. Na nafikiri ana matatizo ya kisaikolojia. Ego kama litoto lidogo.Daahh nyakati zinaenda Kasi sana yaani cr7 ndio wakunangwa kiasi hiki 😄😄📌
Nakumbuka last year alisema kwamba yeye ndiye mchezaji Bora wa Dunia wa muda wote na haoni zaidi yake
Basi mastar karibia wote wa mpira walimdhihaki Hadi boss wake wa zamani tajiri la real Madrid perez alimshangaa 😄😄🙌
Now anakiona Cha mtema kuni
World cup asahau.Apumzike vipi bila kuchukua world cup?
Hata kama siyo babu aweza kuwa bamkubwa 🤣Washenzi wanamuita babu
🤣🤣🤣🤣😂Tatizo Ronaldo anacheza huku anamwangalia Messi. Atafia uwanjani huyu ajuza.
Ronaldo kwa sasa ni kituko..Daahh nyakati zinaenda Kasi sana yaani cr7 ndio wakunangwa kiasi hiki 😄😄📌
Nakumbuka last year alisema kwamba yeye ndiye mchezaji Bora wa Dunia wa muda wote na haoni zaidi yake
Basi mastar karibia wote wa mpira walimdhihaki Hadi boss wake wa zamani tajiri la real Madrid perez alimshangaa 😄😄🙌
Now anakiona Cha mtema kuni
wenye dunia yaoScripted na nani?
😆😆😆 Kazidi egoRonaldo kwa sasa ni kituko..
Mashabiki wa soka hawana shukrani, juzi juzi tu hapa ameimbwa sana, leo amekuwa wa kusimangwa
Hili suala timu zinazoshiriki world cup zinajua?wenye dunia yao
Alitakiwa aseme mchezaji mwenye wafuasi wengi zaidi Instagram kuwahi kutokea.Daahh nyakati zinaenda Kasi sana yaani cr7 ndio wakunangwa kiasi hiki 😄😄📌
Nakumbuka last year alisema kwamba yeye ndiye mchezaji Bora wa Dunia wa muda wote na haoni zaidi yake
Basi mastar karibia wote wa mpira walimdhihaki Hadi boss wake wa zamani tajiri la real Madrid perez alimshangaa 😄😄🙌
Now anakiona Cha mtema kuni
Man U lilirudi garasa.Madeira, Manchester, Madrid, Turin and Manchester again.
Wreathed in red.
Restored to this great gallery of the game.
A walking work of art.
Vintage.
Beyond valuation, beyond forgery or imitation.
18 years since that trembling teenager of touch and tease, first tiptoed on this storied stage;
Now in his immaculate maturity-Peter Drury Ronaldo akirejea Manjesta.
Lakini vipi unazungumziaje hii rekodi yake mpya aliyoiweka?Hakuna Kocha alie na raha kama kocha yoyote yule anaefundisha timu aliyoko Ronaldo.
Fikiria tu kwa sauti kubwa watu wengi wanamtupia lawama Ronaldo kwenye game ya juzi wanasahau mlendani alikuwepo Vitinha alikuwepi Bruno ambao hawajatengeneza chance yoyote na sio hivo tu juna yule mchezaji mpya wa Madrid alikuwa kituko haswa..
Ukweli lqzimq usemwe wqchezqji wote walizingua sana .Sema jamaa kwakuwa anakikubali kama shemeji zangu wa Kihaya ndo maana lolote baya likimkuta zigo la Haja kubwa linakuwa juu yake.
Sure 😁Alitakiwa aseme mchezaji mwenye wafuasi wengi zaidi Instagram kuwahi kutokea.
Rekodi nzuriCristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥
CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr. Champions League na The Portuguese Machine bado anaendelea kusaka bao utafikiri kama amelipoteza 😅
Cha kuogopesha zaidi:
- Ana miaka 41
- Goal drought imefika mechi 10
- Penalties hazipatikani tena 😅
Wakati huo huo kule La Pulga mwenyewe anaendelea kupiga magoli World Cup akiwa na umri wa miaka 38 na kuvunja records mbalimbali 🔥
Kibaya zaidi ni kwamba mzee wa “Siuuu” siku hizi anakosa hata shot on target moja 😃
Inawezekana maana haiwezekani ampite hadi REAL GOAT kiwepesi kabisa.Sure 😁
Halafu nasikia wafuasi wengine pale ni maroboti wanachezea mchongo sometimes
Na ya kujivunia kabisa.Rekodi nzuri
Unaonekana una chuki binafsi na CR7 siyo bure!Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mechi 10 mfululizo kwenye michuano mikubwa bila kufunga bao baada ya mchezo wa Portugal dhidi ya DR Congo ⚽🔥
CR7, Mnyama wa Madeira, Captain Fantastic, Mr. Champions League na The Portuguese Machine bado anaendelea kusaka bao utafikiri kama amelipoteza 😅
Cha kuogopesha zaidi:
- Ana miaka 41
- Goal drought imefika mechi 10
- Penalties hazipatikani tena 😅
Wakati huo huo kule La Pulga mwenyewe anaendelea kupiga magoli World Cup akiwa na umri wa miaka 38 na kuvunja records mbalimbali 🔥
Kibaya zaidi ni kwamba mzee wa “Siuuu” siku hizi anakosa hata shot on target moja 😃
Kwa nini sasa niwe na chuki binafsi na mtu nisiyefahamiana naye?Unaonekana una chuki binafsi na CR7 siyo bure!