Duh, pole mzee mwenzangu...jana nilikuambia tukutane hapa leo, mwenzio hata sikuwa na wasi wasi! Vitendo vya GOP na Fox News viliamsha mizimu ya DEM toka wakati wa Tea Party! Mimi nina bahati ya kuchanganyikana na watu wa kawaida sana mitaani na kilichojulikana hata kabla ya debate ni kuwa Karl Rove na matajiri wake hawataweza hivi vita. Afrika yes, Marekani no. Hebu fikiria mpaka Gallup poll wakatumbukia ndani!