No chance for Romney,media inajua ila ni politics tuu na business maana wasiposema race ipo tight mtaacha kuangalia news,Katika 10 battleground states Obama needs only 2 + OH(ambayo inaonekana atashinda na yupo mbele polls zote za OH),na hizo 9 zilizobaki anaongoza 7 out of 9,nina uhakika Obama will win Iowa,Wisconcin,Nevada (more than he need) na PA and MI sio battleground state ni solid Obama....Romney can take the rest Va,FL,NC,CO na sina uhakika kama anaweza kushinda zote maana yupo behind kwenye polls,both campaign wanajua ukweli maana wana internal pollister wao wanaowaambia ukweli...mkiona Obama kashinda OH mjue gameover na matokeo yaataanza east coast Maine,NY,Connecticut,massachussets etc ambako Obama ni 100% chance of winning like Romney ni 100% in southern states excluding Florida,na kwenye blog 538s ya NY times na intrade Obama is favorite almost 80% to 30% for romney