Rombo wapandisha bendera ya Kenya?


Naam, warombo hawaogopi kazi halali hata ikiwa ngumu vipi.Ndio maana success kwao ipo tuu hata kama Mrombo husika hajasoma.Belive me katika warombo niliowahi waona wakiwa wafanya kazi wa ndani baada ya miaka 3 ni mamilionea.Siasa za nchi zinawachelewesha sana.Kama unabisha tembe nchi nzima angalia baa na maduka ya warombo zilivyofanikiwa na kuwa ndio tegemeo la sehmu husika.majina yao ya haraka ni shayo, tarakea,rombo shine, massawe na mengine yasiyofanana nao...halafu jaribu ulizia walikujaje mjini....
 

Tatizo huelewi maana ya kupandisha bendera ya nchi nyengine , huo ni uhaini

Hao jamaa kama hawataki kufuata sheria za nchi na wahame waende kwa hao mabwana zao Wakikuyu na Wajaluo
wasilete fujo . Otherwise nyembe zitafanya kazi na mikuki
 

unawatangazia biashara hapa ??? Tizama unavyojikalanga, sukali ya nini kama si biashara ya Gongo??? na waende kwa mabwana zao Wakikuyu na Wajaluo wakawapikie gongo sio kupandisha bendera ya mabwana zao hapa.
 
Tatizo huelewi maana ya kupandisha bendera ya nchi nyengine , huo ni uhaini

Hao jamaa kama hawataki kufuata sheria za nchi na wahame waende kwa hao mabwana zao Wakikuyu na Wajaluo
wasilete fujo . Otherwise nyembe zitafanya kazi na mikuki

Mkuu soma post zangu zilizopita kabla hujakurupuka.Angalia msimamo wangu kuhusu kupandisha bendera
 




bila kumeza maneno wewe ni pro-chadema
sasa tunakuuliza nia yenu hasa ni ipi??
Mnajua nyinyi ni watu wa ajabu sana??
Vugu vugu zenu hazina mashiko,,sasa kwa kuchochea wananchi wapandishe bendera ya nchi nyingne ndio kutatua tatzo?
Nashangaa sana kukuona unaitetea hoja hii
 
unawatangazia biashara hapa ??? Tizama unavyojikalanga, sukali ya nini kama si biashara ya gongo??? Na waende kwa mabwana zao wakikuyu na wajaluo wakawapikie gongo sio kupandisha bendera ya mabwana zao hapa......



tell them
they r so much ridiculous..!!
What a shame..!
 
Huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo bila ya kuwachekea, kama wamechoka kuishi tanzania waende uko uko kenya,
 
Tunapoelekea watu watajitangazia jamhuri yao
 
unawatangazia biashara hapa ??? Tizama unavyojikalanga, sukali ya nini kama si biashara ya Gongo??? na waende kwa mabwana zao Wakikuyu na Wajaluo wakawapikie gongo sio kupandisha bendera ya mabwana zao hapa.

Utalia sana ila hujui usemalo.Gongo hawatumii sukari weye,kuna cheaper products molases.Hii ni uthibtisho kuwa CCM wameshindwa linda mipaka.Kwao kuzuia himo ni rahisi kuliko kuzuia mipaka.Kwa haraka ni kwamba wanabana wale watu kijinga.Kwani mpitisha magendo kumzuia Himo hakumzuii kitu kwani kuna njia kubwa zaidi za kuifikisha border.
 

kUMBE WEWE NI MTAALAMU WA HII KAZI YA KUPIKA GONGO, WAPELEKEE FORMULA YAKO HUKO WASILETE UPUUZI WA KUDAI SUKALI KWA KUPANDISHA BENDERA YA MABWANA ZAO WAJALUO NA WAKIKUYU, VYENGINEVYO VIWEMBE VIKO NJIANI TU NA MIKUKI , WAHAINI HAO
 
huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo, kama wamechoka kuishi Tanzania waende wakaishi uko uko kenya,
 
Tatizo lilianza lini?

Mbunge ,mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa wamechukua hatua gani kutatua?

Wananchi wamechukua hatua gani kuhakikisha viongozi wao wanashughulikia hili swala?

Nadhani hawa ndio wapo responsible kwa matatizo hayo.
 
Tatizo huelewi maana ya kupandisha bendera ya nchi nyengine , huo ni uhaini

Hao jamaa kama hawataki kufuata sheria za nchi na wahame waende kwa hao mabwana zao Wakikuyu na Wajaluo
wasilete fujo . Otherwise nyembe zitafanya kazi na mikuki

mkuu huyo jamaa ni kiongozi wa uamsho huko rombo.kama ataenda kugombea ubunge huko itakua vurugu tupu.CCM tutamleta mama notburga masikini au wilbard shayo ama prosper ngalai
 
nawajitenge
 

umeonyesha arrogance ya kichagga
 
'watu wa rombo wawachwe wapumue!' hata wakiweka bendera zote, za kenya na uganda, wawachwe! ebo!
 
huwezi kupandisha bendera ya nchi nyingine ndani ya ardhi ya Tanzania, serikali inatakiwa kuwashughulikia ipasavyo, kama wamechoka kuishi Tanzania waende wakishi uko uko kenya, pumbafu!!!
 
Ni wapuuzi hao pia lazima wachukuliwe hatua stahili kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…