Mkuu mimi nakubaliana na wewe....Kwanza tukubaliane kwamba Kama kweli hili tukio limefanyika basi ni Uhaini...
Pili Kuna njia nyingi amabazo ni halali kikatiba amabazo Mtanzania anaweza kuzipitia kufikisha Malalamiko(Maoni).....
Anaweza Kuandamana...anaweza Kufungua Kesi....na mengineyo.....
Lakini Huwezi kufikisha ujumbe kwa Kupandisha bendera ya nchi JIRANI....Huku ni kujidharau na kudharau Wa-Tanzania wengine ....
Nimewahi kuishi na Wakenya ...Ki ukweli Wakenya wana dharau ya Hali ya juu kwa wa-Tanzania,Lakini walikuwa wanakoma Na mimi....
Wa-Tanzania ambao Hawapati huduma za kijamii ni wengi sana.....Kila pande za nchi hii kuna watu wanataabika kuhusu Hospitali,Wajawazito wanakufa Barabarani ,watu hawapati maji ya kunywa ...watu hawana hela ya kununua dawa...shule hakuna...chakula cha Tabu.....
Je hawa wote wapandishe Bendera za Kenya ?
Mimi nimesikia Kuwa Huko kilimanjaro(Rombo) Kuna Maendeleo Kuliko Sehemu nyingi za Tanzania....
Je Wana-Rombo wana Haki zaidi ya Kupandisha Bendera ya Kenya Kuliko Wa-Tanzania wengine ?
Mimi Naunga Mkono harakati zote za Kujiletea Maendeleo...Lakini Siungi Mkono kupandisha Bendera ya nchi Nyengine
Especially Kenya ... angalu wangepandisha ya Rwanda ningeweza Kuvumilia..lakini Kenya...Hapana..Hapana
Wa Rombo wapuuzi wakubwa.Wakenya wenyewe wanataka kuwa watanzania kukimbia njaa.Kwani lazima munywe chai,si nyinyi huwa munakunywa uji wa ndizi?.
Yaani kukosa sukari tu munakimbia nchi.si watu wa kuaminika hata kidogo.Ndio nyinyi munaobadili dini na vyama kwa kuhongwa vitu vidogo kama pombe na mitumba.Poleni sana warombo.
mzeee unaunga mkono warombo kupandisha bendera ya kenya?nassari naye alidai jamhuri ya kaskazini
He!Kwa maana hiyo CDM wameshapoteza jimbo hivyo au?
Pengine watu hawajui kuwa kilimanjaro ilishwahi kuwa na rais wao, kma si Marealle kuvuruga mambo wachaga wangeweza strike deal na Nyerere na kuwa na muungano kama Zenj.Rais wao alibadilishwa kuwa waziri wa elimu.Sijui mnashangaa nini hapa?Alichoharibu Marealle kikamaliza power ya local authority ya Wachaga, na ndipo pakawa na mpango madhubuti wa kuwabana wachaga.Sikushagaa sana kauli za akina Rizwan na mwenyekiti wa Vijana wa CCM pwani kusema waliyoyasema.
Mwenye macho taona kwanini sera za dar zenye baraka za dodoma ni maalumu kuwamaliza wachaga.sasa si kuchelewesha maendeleo ya nchi.NImekuwa nikisema haya sana humu ndani watu wakaniona kuwa ni extremeist wa kichaga na mbaduzi mkubwa.
Lini Chadema mtatangaza rasmi taifa lenu la Kaskazini.
kuna njia mbalimbali kuonyesha watu wameichoka serikali yao. sehemu ambayo bendera huruhiwa kupandishwa mathalani ya mataifa mengine ni ktk balozi tu. ikitokea hapo inamaanisha tayari eneo hilo limetwaliwa na kenya kama yale yaliyotokea enzi za idd amin kule kagera.
Wa Rombo wapuuzi wakubwa.Wakenya wenyewe wanataka kuwa watanzania kukimbia njaa.Kwani lazima munywe chai,si nyinyi huwa munakunywa uji wa ndizi?.
Yaani kukosa sukari tu munakimbia nchi.si watu wa kuaminika hata kidogo.Ndio nyinyi munaobadili dini na vyama kwa kuhongwa vitu vidogo kama pombe na mitumba.Poleni sana warombo.
katalunya nao wanadaia autonomy yao toka spain.
dawayao ni kunyolewa na kuchomwa mikuki tu wasipoteze watu muda vibaraka hao
Acha uhuni wewe,CDM ingehitaji hilo ingefanya kama CUF au Chama cha Mzee wa mapesa kule kanda ya ziwa hana haja ya kupanua chama.CDM hawajawahi sema kam Maalimu Zanzibar Huru.
Mbona unapingana na Mbunge wenu Nassari alisema wataanzisha taifa la kaskazini unaogopa nini.
Kuna tofauti ya watu wanataka wawe huru kuleta maendeleo na watu wanaotaka kuwa huru ili wapewe bure zaidi au kutishia watu wazidi wapa bure.Tanzania inawachelewesha na kuwapa msoto warobo bure.Ni kama mtu nayemwaga mboga yako ikiwa jikoni, na kukufanya ulale njaa kama yeye ambaye hana chakula.
uhuru wakupika gongo na mbege wakauze Kenya ???? ni bakola tu wakizidi jaziba wanakula mikuki
dawayao ni kunyolewa na kuchomwa mikuki tu wasipoteze watu muda vibaraka hao