nakuunga mkono ben mm wakati ningali mdogo nlidhani MTUKUFU RAIS DANIEL ARAP MOI ndio rais wangu kwani sikujua kama kuna RTD AU MWINYI.kila kitu kuanzia vyakula nguo nk tulitoa kenya,hata sukari na bia za kenya. ITV ndio walau kwa sasa wameweka mnara wao kama 4 years ago.HAKUNA CHA TBC WALA NN. KBC TV HATA KAMA UNA ANTENA YA CHADEMA inashika bila chenga,na radio kibao za FM zote kenya. MM NADHANI ROMBO NI SEHEMU YA KENYA KWANI WAO WANATUTHAMINI ZAIDI KULIKO SERIKALI YETU YA MKWARE. elimu vijana wanavuka boda, biashara wanafanya bila hata pasport hata mashamba twalima kule. ntajivunia nn kuitwa mtanzania wkt serikali imetutenga kisa jimbo pinzani??? WAMETUWEKEA LAMI LKN WAKATUTENGA. ole wao magamba. soon tutaungana na arusha,mwanza na mbeya mikoa mingine itafuatia ndio kiama kwa magamba.
Tembo wanaotoka nchi jirani wamekuwa wakivamia mashamba ya wananchi,wakiharibu na hata kuuwa watu lakini hakuna fidia ya maana iliyofanyika.Wanachi wa Rombo sasa inabidi kwa ruthless,wanyama wanaoingia kwenye mashamba inabidi wauwa na hakuna kutoa taarifa kwa idara ya maliasili,wauawe na pembe ziuzwe hela iingizwe kwenye akaunti maalumu ya kufidia walioathiriwa na wanyama hao
Leo hii watu wanawalaumu watu wa Rombo kwa kujiskia sehemu ya kenya bila kufikiria saikolojia iliyowaathiri ya muda mrefu.Huduma za kijamii na kiuchumi zimekuwa attached na wakenya.Hata Radio ya Taifa TBC haifiki kule badala yake KBC ndiyo inasikika sijui kama watu walioko Tunduma,Songea na kigoma wanasikiliza redio za Zambia,malawi,msumbiji au DRC kuliko TBC au ni Rombo peke yake?
Sasa serikali itende haki,mkuu wa mkoa,mkuu wa wilaya,madiwani pamoja na Mbunge wa Rombo simamieni maslahi ya wananchi wa Rombo.Serikali iache vitisho,iache kuwatisha wananchi wa Rombo.
aku