Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #941
Poa tu
Mnaomdai dai ndio mnampa kichwa
Aweke asiweke mbona poa tu
Mnaomdai dai ndio mnampa kichwa
Aweke asiweke mbona poa tu
Kila siku nachungulia kuvizia sehemu ya kumi, nishakuwa mtumwa wa andiko hili
We mpaka sasa ushaziunga ngap
Wapenda vya bure hawawez kuacha kulalamika
The bold kawakimbia kama kawaida yake tuliopo kule group raha sana
Nimekua msomaji wa makala zako muda mrefu sana. Nikupongeze sana jamaa. Kuandika sio kazi rahisi hata kidogo. Kutafiti ni kazi kubwa kuliko kulima. Na ugumu zaidi, kueleza jambo likawa na taarifa zaidi kuliko mtu anavyoweza kuzipata katika dunia hii iliyojaa utandawazi. Kwenye jamii za wenzetu ungekua bilionea mkubwa, bahati mbaya jamii zetu zetu hizi ambazo hata kutoa ef 5 kwa mwezi mtu anaona ni kama anaibiwa, basi tunashukuru utaacha kumbukumbu ya maandishi haya, hata wajukuu zako watanufaika na maumivu ya kuacha usingizi na kukodoa macho kwenye makaratasi. KUDOS BRO.
Mzee Baba, Hanga, uko vizuri. Hizi riwaya ziandike ili watu wengi wasome kwa kiswahili.
Nishawahi kusema huyu ni kifaduro, hana lolote analojua story za usalama za vijiweni ndio anakuja kujitutumua humu ndani kwamba amebobea katika masuala ya intelligence, watu tunamuangalia na kubaki kucheka tu.Alijigamba kuwa anajua mambo sana ya usalama hapa EAC kikubwa anajipigia chapuo. Yeye alitakiwa kutoa afu sie wenyewe ndo tujaji jamaa anajua ama hajui.
Sema anabangaiza ya unga watoto waende chooni.
Huwa Niko sensitive sana na kauli za kunitoa Hela.yaani utakuja na lugha tamu ila mwishoni najua kuwa lengo lako mie nitoe Hela mfukoni nikupe.
Njaa mbaya sana Mkuu..Hahahahaha pole endelea tu kulipia elfu tano tano mkuu nakumbuka niliwahi kuwepo kwenye group lake kama sio mwaka jana basi mwaka juzi hayo.na mie yalinikuta mpk nikajuta ratiba anaweka mwenyewe halafu anaivuruga ila ikifika mwisho wa mwezi ukifika anaibuka kusisitiza kulipia nilitoka nduki
Bro nweke kwenye tag lako...
Nisaidie bas kuiquote ya kwanza na ya pili mimi kwangu zote hazifunguki
Please kaka habib naomba uni tag ujawahi kunitag hata mara moja though najitahidi kukuomba , kazi nzuri sana .. nimesha tega alarm kabisa saa 2 kamili
Nimejaribu sana huwa haifunguki kabisa
Hata kama wanakushutumu, kuwa unacopy kutok google, ukweli kwamba you are talented. Upangiliwaji wa stori upo makini sana na umeenda ndani sana. AsanteTHE BOLD
Kaka mkubwa Habibu B. Anga kila la kheri kaka.
Haya ndio maneno, embu fanya kuniweka katika tag list yako Boss.LEO USIKU NAWEZA NISIPATE NAFASI..
KWA HIYO NDANI YA DAKIKA KUMI NAWEKA SEHEMI YA KUMI...
Sharp, sharp..