Mia tisaWe mpaka sasa ushaziunga ngap
Mia tisaWe mpaka sasa ushaziunga ngap
Pole sana kifupi hii story ndio imeshaishia hapa jaribu kitu kingine cha kufatilia humu JF vinginevyo labda ulipie ile elfu tano ambayo ndio target ya muandishiKila siku nachungulia kuvizia sehemu ya kumi, nishakuwa mtumwa wa andiko hili
Pole sana kifupi hii story ndio imeshaishia hapa jaribu kitu kingine cha kufatilia humu JF vinginevyo labda ulipie ile elfu tano ambayo ndio target ya muandishi
The bold kawakimbia kama kawaida yake tuliopo kule group raha sana
Hajui sisi ndio wateja wa baadae wa vitabu vyakeHabibu B. Anga sikuelewi kabisa. Hata kwenye group Watsapp unapost stori kwa maringo sana jomba. Kama umeamua kufanya jambo fanya bila kuingiza ujanja ujanja. Una kipaji lakini unajiharibia kuingiza uswahili uswahili usio na maana.
Ni tabia za wabongo wengi wakisifiwa.ye raha yake ni akiingia huku aone malalamiko yenuuuHajui sisi ndio wateja wa baadae wa vitabu vyake
Hahahahaha pole endelea tu kulipia elfu tano tano mkuu nakumbuka niliwahi kuwepo kwenye group lake kama sio mwaka jana basi mwaka juzi hayo.na mie yalinikuta mpk nikajuta ratiba anaweka mwenyewe halafu anaivuruga ila ikifika mwisho wa mwezi ukifika anaibuka kusisitiza kulipia nilitoka ndukiHabibu B. Anga sikuelewi kabisa. Hata kwenye group Watsapp unapost stori kwa maringo sana jomba. Kama umeamua kufanya jambo fanya bila kuingiza ujanja ujanja. Una kipaji lakini unajiharibia kuingiza uswahili uswahili usio na maana.
Hahahahaha pole endelea tu kulipia elfu tano tano mkuu nakumbuka niliwahi kuwepo kwenye group lake kama sio mwaka jana basi mwaka juzi hayo.na mie yalinikuta mpk nikajuta ratiba anaweka mwenyewe halafu anaivuruga ila ikifika mwisho wa mwezi ukifika anaibuka kusisitiza kulipia nilitoka nduki
Kama unayosema ni ya kweli...Huu sasa utakuwa utapeli...why awalipishe watu bila kuwapa huduma...ni bora aandike story zake mpaka mwisho then aziuze kama vitabu hardcopyHahahahaha pole endelea tu kulipia elfu tano tano mkuu nakumbuka niliwahi kuwepo kwenye group lake kama sio mwaka jana basi mwaka juzi hayo.na mie yalinikuta mpk nikajuta ratiba anaweka mwenyewe halafu anaivuruga ila ikifika mwisho wa mwezi ukifika anaibuka kusisitiza kulipia nilitoka nduki
Awe anatunga mwenyewe awe anacopy na kupaste, awe anapata kutoka chanzo chochote story zake zinabamba sana sana na, zinavuta hisia za maelfu ya wasomaji nikiwemo mimi.
Ukiona anakuboa usimfuatilie uchune hamna haja ya kuumiza vidole vyako kutype hapa kwa ajili ya kumponda mtu.
Naombeni namba ya Habibu ya whatsapp nikajiunge huko
Mkuu stori ni nzuri.. kama kuna mwendelezo usisahau kunitaG..
Huyu jamaa nae kazidi..story zake zote huwa haziishi
Sijui ndio kutaka watu wakajiunge wasap? Kama huwezi maliza bora usizilete kabisa unazingua