Hivyo hivyo kutafsiri ndo sisi tunataka, Internet kwani ulitulipia ada?? Ngedele wewe...Kitabu kwa story zipi.....hizi story mbona zipo internet ila huyu jamaa anafanya kutafsiri tu...
Ili atoweke?wengine hawana ushujaa wa kipumbav kuwauza cheupe na katoto kisa uzalendo wa uongo.Nimesoma nakurudia mara 3 maelezo hayo natamani aongeze nyama nyingi
embu tuwekee link hata moja ya story aliotafsiri huyu jamaa. moja tu mkuuKitabu kwa story zipi.....hizi story mbona zipo internet ila huyu jamaa anafanya kutafsiri tu...
We jamaa unanikumbusha enzi za shule, kuna mshkaji wetu alikuwa na mambo kama yako. Mwalimu akianza kufundisha somo jipya anajifanya "Hiyo naijua, nimeisoma jana mchikidown"Kitabu kwa story zipi.....hizi story mbona zipo internet ila huyu jamaa anafanya kutafsiri tu...
Oligarchy umenichekesha..unata kummalizaOligarch Anga leta episode 8 la sivyo naomba airtime ITV