WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 946
Neno roho kwa wote sio geni sana. Kwa wanaojua wasaidie kujibu maswali, wasitumie imani za dini.
1: Roho ni nini?
2: Roho inapatikana wapi katika sehemu ya mwili?
3: Nani amewahi kuiona roho na inafananaje?
4: Moyo ndio kiungo kikuu Cha binadamu, binadamu akifariki tunasema roho imemtoka na sio moyo umesimama. Kwa Nini? Na roho ikimtoka binadamu inaenda?
5: Roho Safi ikoje na roho chafu zikoje?
6: Kama binadamu anaishi kwa kutegemea hewa Aina ya oxygen, kwanini binadamu roho ikimtoka ndio hufa? Na bado hewa ya oxygen inakuwepo bado.
1: Roho ni nini?
2: Roho inapatikana wapi katika sehemu ya mwili?
3: Nani amewahi kuiona roho na inafananaje?
4: Moyo ndio kiungo kikuu Cha binadamu, binadamu akifariki tunasema roho imemtoka na sio moyo umesimama. Kwa Nini? Na roho ikimtoka binadamu inaenda?
5: Roho Safi ikoje na roho chafu zikoje?
6: Kama binadamu anaishi kwa kutegemea hewa Aina ya oxygen, kwanini binadamu roho ikimtoka ndio hufa? Na bado hewa ya oxygen inakuwepo bado.