WilsonKaisary
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 392
- 946
- Thread starter
- #21
Na Kama Ni pumzi, inakuaje unakufa wakati ipo hewa?Nahisi roho ni pumzi unayovuta
Na Kama Ni pumzi, inakuaje unakufa wakati ipo hewa?Nahisi roho ni pumzi unayovuta
Je nikisema kuna jambo nataka nifanye lakini nafsi inakataa nakosea?Huwezi kuiona roho yako kwa macho kwa kuwa si mwili. Nikuulize kidogo ili uweze kunielewa: Je, umewahi kuuona upepo kwa macho? Hata kama hujawahi kuuona lakini sauti yake, matokeo au madhara yake, unayasikia na kuyaona kwa hakika.
Kwahiyo, uwepo wa kitu fulani si lazima ukione kwa macho. Hata sauti hujawahi kuziona lakini unazisikia kwa hakika!
Roho yako ndiyo wewe mwenyewe. Mwili ni koti tu lililoivaa roho, ikitoka unakuwa umekufa. Pia una nafsi (soul) ambayo hujumuisha akili (mind), hisia (emotions) na maamuzi (decisions). Nafsi hubeba utashi (conscience) ambao wanao watu tu, si wanyama.
Unafanya jambo lolote kwa utashi wako, kwa maamuzi yako na mtazamo au mapenzi yako. Tunu hiyo haipo kwa wanyama. Hata mnyama anapokunya hafikirii chochote - kunya kunamtokea tu popote!
Je, umewahi kutokewa ambapo unabishana na wewe mwenyewe? Akili yako inaamua kwenda mahali fulani, lakini ndani yako unasikia sauti ya chini inakukataza usiende! Ukiamua kwenda bila kuitii hiyo sauti ndani yako halafu ukapata shida huko uendako, utaanza kusema roho yangu ilinikataza! Roho yangu ilisita! Roho iligoma kwenda!
Kwahiyo, kila mtu ana sehemu tatu: Roho (spirit), Nafsi (soul) na Mwili wa damu, nyama, mifupa, nk (flesh). Kama hujanielewa nitafute ili nikupe ufafanuzi zaidi kadri Mungu atakavyonijaalia. Pia waweza kusoma 1 Thesalonike 5:23
Nilisema kuwa Kuna kitabu Cha Freemasonry nilisoma, Sasa naki-quote katika kujibu swali la mleta mada, nita-quote maelezo marefu kidogo, ila najua wengi watayapenda.
Here We go.
"The lodge is more than an assembly of individuals. When properly formed, it is an object lesson in the knowledge of yourself. The true work of the craft—disciplining and perfecting yourself— cannot be entered upon without first understanding the details of the many parts which make up yourself. The lodge provides a model to help you understand."
Naendelea ku-quote
"You're a threefold being. You have an outside personality, which functions in the world. This is temporal, mutable, and fall far short of expressing your real nature" (Body???)
"You also have an inside personality: a large psychological field called the mind. Your mind actuates the outside self, but is more subtle and complex. ......... The secret science of the craft is directed towards developing your mind, and the lodge is formed with the purpose of serving as a model of that sphere of psychical faculties and tendencies which We call intellect. We can change from a rough ashlar to a perfect cube and be carried from natural darkness into supernatural light.
Sasa swali la mleta mada lime-base hapa..check Freemasonry inavyosema kuhusu roho...
"But there is a third factor, beyond your outward person. The factor which joins you to the source of all being. This is your spirit, your real self, your centre, which We sometimes call your soul. This spirit has it's mysteries which can never be know until the teaching of the craft has been assimilated both In theory and personal experience. The spirit indwells the mind, just as the mind suffuses the body.."
Wakuu nimemaliza ku-quote kitabu Cha Freemasonry
Huwezi kuiona roho yako kwa macho kwa kuwa si mwili. Nikuulize kidogo ili uweze kunielewa: Je, umewahi kuuona upepo kwa macho? Hata kama hujawahi kuuona lakini sauti yake, matokeo au madhara yake, unayasikia na kuyaona kwa hakika.
Kwahiyo, uwepo wa kitu fulani si lazima ukione kwa macho. Hata sauti hujawahi kuziona lakini unazisikia kwa hakika!
Roho yako ndiyo wewe mwenyewe. Mwili ni koti tu lililoivaa roho, ikitoka unakuwa umekufa. Pia una nafsi (soul) ambayo hujumuisha akili (mind), hisia (emotions) na maamuzi (decisions). Nafsi hubeba utashi (conscience) ambao wanao watu tu, si wanyama.
Unafanya jambo lolote kwa utashi wako, kwa maamuzi yako na mtazamo au mapenzi yako. Tunu hiyo haipo kwa wanyama. Hata mnyama anapokunya hafikirii chochote - kunya kunamtokea tu popote!
Je, umewahi kutokewa ambapo unabishana na wewe mwenyewe? Akili yako inaamua kwenda mahali fulani, lakini ndani yako unasikia sauti ya chini inakukataza usiende! Ukiamua kwenda bila kuitii hiyo sauti ndani yako halafu ukapata shida huko uendako, utaanza kusema roho yangu ilinikataza! Roho yangu ilisita! Roho iligoma kwenda!
Kwahiyo, kila mtu ana sehemu tatu: Roho (spirit), Nafsi (soul) na Mwili wa damu, nyama, mifupa, nk (flesh). Kama hujanielewa nitafute ili nikupe ufafanuzi zaidi kadri Mungu atakavyonijaalia. Pia waweza kusoma 1 Thesalonike 5:23
Roho ni nafsi kamili ambayo huwezi kuishika wa kuiona...kwann binadamu anakufa nafsi zetu hazikamilika kwaiyo inafika mwisho ndio unakufaa...kwa mfano binadamu wote tungekuwa tuna nafsi kamili dhambi wala vifo visingetokea...
Ili ujue nafsi yako ndio roho yako inapotokaa na kuacha mwili kwenye hii dunia....mengine huwezi jua mpaka roho yako itokee...