Gwappo Mwakatobe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2019
- 1,494
- 1,874
Moyo una maana mbili tofauti kama ambavyo neno "ua" lina maana tatu tofauti. Kuna ua mmea, ua nyuma ya nyumba, na ua likimaanisha kutoa uhai. Itoshe kusema si kila neno lina maana moja!
Kuna moyo (heart) ambao ni kiungo cha mwili chenye nyama, damu na mishipa. Kuna moyo (heart or spirit) wenye maana ya roho (subconscious being)
Kuna moyo (heart) ambao ni kiungo cha mwili chenye nyama, damu na mishipa. Kuna moyo (heart or spirit) wenye maana ya roho (subconscious being)
Moyo ni nyama...
Roho ipo kihisia zaidi, roho huambatana na nafsi... nafasi huvaa mwili...
Cc: mahondaw