Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Tuambiane tu ukweli, kuna ongezeko kubwa la vifo ndani ya wiki hii, mara mbunge, mara mkuu wa wilaya, mara mstaafu wa CTI, mara mstaafu wa CUF
Halafu mazishi watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?
Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai
Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?
Corona haikwepeki:
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
Halafu mazishi watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?
Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai
Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?
Corona haikwepeki:
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania