Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
- Thread starter
- #61
Uchumi kwanza uhai baadaeDaahh! Aisee, yaani ni yale ya punda afe mzigo ufike!
Uchumi kwanza uhai baadaeDaahh! Aisee, yaani ni yale ya punda afe mzigo ufike!
Basi tuweke hivi hakuna korona wala hakuna vifo Tanzania mambo yote yametungwa na Mabeberu wa Chadema hapo vipi?Wewe una ndugu aliyekufa na kuzikwa nyinyi ndugu hamkutaarifiwa?
Kuzikwa usiku sio issue , kwa sababu kuna weza kuwa ideal sababu ya logistics na utulivu unaokuwepo usiku tofauti na mchana mashughuli Mengi ktk mini yetu.
Mchungaji Augustino Ramadhan ametutokaTuambiane tu ukweli, kuna ongezeko kubwa la vifo ndani ya wiki hii, mara mbunge, mara mkuu wa wilaya, mara mstaafu wa CTI, mara mstaafu wa CUF
Halafu mazishi...watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?
Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai
Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?
Corona haikwepeki:
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
Nimesikia mtoto wa Edward Lowassa amefariki asubuhi hii. So sad! Tutakwisha yaaniTuambiane tu ukweli, kuna ongezeko kubwa la vifo ndani ya wiki hii, mara mbunge, mara mkuu wa wilaya, mara mstaafu wa CTI, mara mstaafu wa CUF
Halafu mazishi...watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?
Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai
Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?
Corona haikwepeki:
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
Kama ulivyo wewe mbwa basi kila mtu unafikiri ni mbwa?Mbona kwenye makanisa na misikiti ibada mikusanyiko unayoisema hapa haijazuiwa we mbwa?
Mchungaji wa Anglican Mkunazini amefariki leoKama ulivyo wewe mbwa basi kila mtu unafikiri ni mbwa?
Makanisani taratibu zimeshatolewa, viongozi wa dini wanasimamia ipasavyo usafi, uvaaji barakoa na distancing.
Najua wewe akili ulishamkabidhi Mbowe lakini taratibu tutaelewana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mange kimambi pale IG ameeka post ya ati watu 13 wamezikwa arusha jana bana, hawa wasee wanaogopa hii gover yao sana,tz will have it rough akiGeza Ulole huonekani hapa jombaa, una pita pembeni kimya kimya! waimba mapambio sijui mtajificha wapi
cc mwaswast Tony254 MK254 Kafrican
tz is the Italy of Africa.saa hii watu wanaanguka na kufa barabarani.Mange kimambi pale IG ameeka post ya ati watu 13 wamezikwa arusha jana bana, hawa wasee wanaogopa hii gover yao sana,tz will have it rough aki
Sent using Jamii Forums mobile app
Geza Ulole huonekani hapa jombaa, una pita pembeni kimya kimya! waimba mapambio sijui mtajificha wapi
cc mwaswast Tony254 MK254 Kafrican
tz is the Italy of Africa.saa hii watu wanaanguka na kufa barabarani.
We nyang'au kanisa gani wanasali watu kumi tu? Huko kwenye maziko inashindikana vipi kufanya utaratibu kama huo unaousema unafanyika makanisani na misikitini? Corona imekuja kuwaondolea hicho kiburi na dharau zenu, shenzi wewe.Kama ulivyo wewe mbwa basi kila mtu unafikiri ni mbwa?
Makanisani taratibu zimeshatolewa, viongozi wa dini wanasimamia ipasavyo usafi, uvaaji barakoa na distancing.
Najua wewe akili ulishamkabidhi Mbowe lakini taratibu tutaelewana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo valar... valar..., ndio lugha gani hiyoValar morghulis(wanadamu wote lazima wafikwe na mauti)
Valar dohaeris(wanadamu wote lazima watumikie),(GOT)
Wapumzike pema wote waliotangulia.
Mauti ni njia ambayo kila mmoja wetu hana budi kuipitia.
Huko ni kujali wananchi!Tuambiane tu ukweli, kuna ongezeko kubwa la vifo ndani ya wiki hii, mara mbunge, mara mkuu wa wilaya, mara mstaafu wa CTI, mara mstaafu wa CUF
Halafu mazishi watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?
Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai
Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?
Corona haikwepeki:
Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
Sipo hivyo ila napingana na propaganda zisizo na mpango or to sensationalise the issue or services or the leadershipBasi tuweke hivi hakuna korona wala hakuna vifo Tanzania mambo yote yametungwa na Mabeberu wa Chadema hapo vipi?
Sipo hivyo ila napingana na propaganda zisizo na mpango or to sensationalise the issue or services or the leadership
Kila mti atafute Ikulu yake ahamie.Chapeni kazi km mzee wa chato
Hali ni mbaya mbaya kweli kweli watu wanafia mlangoni kwenye ofisi za ccm lumumba haebu fikiria Watanzani wa huko vijijini