Robert Alai: Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night

Mkuu, kuna watu wengi wanakufa na magonjwa yao ya zamani, ni vigumu kuendelea na utaratibu wa zamani wa mazishi kabla corona haijaingia TZ.

Mazishi ya zamani hayakujali mikusanyiko siju hizi mkikaribiana tu basi mmeshaambukizana maradhi ya mchina.
Ndo maana nimeuliza hapa ni lini na wapi serikali ilitangaza kwamba maiti zote itazika wao bila kujali marehemu amekufa kwa ugonjwa gani!!!

Hilo swali sijajibiwa, na kwa silika yangu, huwa siongei bila kuwa na uhakika!!!

Maelekezo ya mwisho yalitolewa na Majaliwa on April 25. Hakuna popote walipotaja mwongozo wa maziko kwamba mtu akifiwa na ndugu, basi afuate utaratibu XYZ ili kuhakikisha maiti inazikwa na serikali!!

Kama huo mwongozo unao, tuwekee hapa na kama hakuna, serikali wananchi watafahamu vp kwamba wanatakiwa kuichukua utaratibu fulani badala ya kuendelea business as usual!

Na kama wananchi hawajui, serikali itazifikia vp hizo maiti zoooooooooooote kwa sababu licha ya coronavirus, bado wanaendelea kufa.

And let's be honest here. Ni lini serikali imewahi kujipa jukumu la kuzika maiti zisizotokana na maradhi hatarishi?! Hata kunapokuwa na mlipuko wa kipindupindu, serikali huwa inazika maiti lakini exclussively zilizotokana na kipindupindu.
 
Tuambiane tu ukweli, kuna ongezeko kubwa la vifo ndani ya wiki hii, mara mbunge, mara mkuu wa wilaya, mara mstaafu wa CTI, mara mstaafu wa CUF

Halafu mazishi...watu wasiozidi kumi? Je, wanafariki kwa magonjwa mengine au magonjwa mengine yanapelekea magonjwa mengine kuwaua?

Huko makaburini Ununio na pengine, raia wanazikwa usiku chap chap... Why? Tanzania is Burying Covid-19 Victims at Night-Robert Alai

Kwanini misiba ya siku hizi inazikwa na serikali?

Corona haikwepeki:


Mombasa Billionaire Who Escaped Quarantine Dies From Covid-19 in Tanzania
The fault of imposing leadership. There will be a lot of questions and punishment for those closing their eyes at this hour of need. The motive behind is not told, why?
 
Ndo maana nimeuliza hapa ni lini na wapi serikali ilitangaza kwamba maiti zote itazika wao bila kujali marehemu amekufa kwa ugonjwa gani!!!

Hilo swali sijajibiwa, na kwa silika yangu, huwa siongei bila kuwa na uhakika!!!

Maelekezo ya mwisho yalitolewa na Majaliwa on April 25... hakuna popote walipotaja mwongozo wa maziko kwamba mtu akifiwa na ndugu, basi afuate utaratibu XYZ ili kuhakikisha maiti inazikwa na serikali!!

Kama huo mwongozo unao, tuwekee hapa... na kama hakuna, serikali wananchi watafahamu vp kwamba wanatakiwa kuichukua utaratibu fulani badala ya kuendelea business as usual!

Na kama wananchi hawajui, serikali itazifikia vp hizo maiti zoooooooooooote kwa sababu licha ya coronavirus, bado wanaendelea kufa!!!

And let's be honest here... ni lini serikali imewahi kujipa jukumu la kuzika maiti zisizotokana na maradhi hatarishi?! Hata kunapokuwa na mlipuko wa kipindupindu, serikali huwa inazika maiti lakini exclussively zilizotokana na kipindupindu!!
Viongozi wa dini hii ni sawa na kumsaliti Yesu kwa vipande 30 vya fedha!
 
Ndo maana nimeuliza hapa ni lini na wapi serikali ilitangaza kwamba maiti zote itazika wao bila kujali marehemu amekufa kwa ugonjwa gani!!!

Hilo swali sijajibiwa, na kwa silika yangu, huwa siongei bila kuwa na uhakika!!!

Maelekezo ya mwisho yalitolewa na Majaliwa on April 25... hakuna popote walipotaja mwongozo wa maziko kwamba mtu akifiwa na ndugu, basi afuate utaratibu XYZ ili kuhakikisha maiti inazikwa na serikali!!

Kama huo mwongozo unao, tuwekee hapa... na kama hakuna, serikali wananchi watafahamu vp kwamba wanatakiwa kuichukua utaratibu fulani badala ya kuendelea business as usual!

Na kama wananchi hawajui, serikali itazifikia vp hizo maiti zoooooooooooote kwa sababu licha ya coronavirus, bado wanaendelea kufa!!!

And let's be honest here... ni lini serikali imewahi kujipa jukumu la kuzika maiti zisizotokana na maradhi hatarishi?! Hata kunapokuwa na mlipuko wa kipindupindu, serikali huwa inazika maiti lakini exclussively zilizotokana na kipindupindu!!
Mkuu chige lengo la mtu kuzikwa na watu wachache ni kupunguza uwezekano wa ugonjwa kusambaa.

Nyakati hizi ni mbaya, mambo yameshabadilika.

Sio kila kitu kitangazwe kwa tangazo maalum la kiserikali linalowekwa gazetini.
 
Mkuu chige lengo la mtu kuzikwa na watu wachache ni kupunguza uwezekano wa ugonjwa kusambaa.

Nyakati hizi ni mbaya, mambo yameshabadilika.

Sio kila kitu kitangazwe kwa tangazo maalum la kiserikali linalowekwa gazetini.
Sasa wasipotangaza wananchi watajuaje kwamba siku hizi ukifiwa na ndugu yako, unaenda kuwaambia serikali ili waje wachukue maiti wakazike?

Man, hapa hakuna cha mikusanyiko wala nini, maiti zinazozikwa na serikali ni zile zinazotokana na corona! Serikali haiwezi kuwa na uwezo wa kuzika kila marehemu!!
 
Kuna kipindi kulikuwa kunafufuliza vifo vya wasanii na watu maarufu,ingekuwa wakati huu tungesema wamekufa kwa corona. Juzi hapa kafa Mama Rwakatare watu wakasema ni corona hivyo washazika mara yale mazishi walizika sijui mgomba.
 
Hali ni mbaya mbaya kweli kweli watu wanafia mlangoni kwenye ofisi za ccm lumumba haebu fikiria Watanzani wa huko vijijini
Watu ni wingi ni zaidi ya moja, Sasa kwenye hiyo clip ni maiti ngapi zimeonyeshwa ? Au ndio ushetani wenyewe
 
Nmekwambia selikali kuzika watu kama hao ni moja ya mikakati ya kupunguza maambukizi si hapa tu hata Kenya wanafanya hivyo.
Huku mtaani hata mtu akifa kwa ajali selikali ya mtaa inasimamia ili watu wasirundikane msibani na mazikoni wanaenda watu wachache.
NI MOJA YA MKAKATI WA KUPUNGUZA MAAMBUKIZI

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kwenye makanisa na misikiti ibada mikusanyiko unayoisema hapa haijazuiwa we mbwa?
 
Kuna zile zinazozikwa kila usiku
Wewe una ndugu aliyekufa na kuzikwa nyinyi ndugu hamkutaarifiwa?

Kuzikwa usiku sio issue, kwa sababu kuna weza kuwa ideal sababu ya logistics na utulivu unaokuwepo usiku tofauti na mchana mashughuli Mengi ktk mini yetu.
 
Back
Top Bottom