Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,705
- 10,209
Toka nakua namsikia huyu jamaa matangazo yake EATV, miaka ya karibuni kaingia kwenye madawa(Pharmacy) ila sijawahi jua inamilikiwa na nani? Ni mbongo ?
Jamaa kadumu kwenye game la nguo toka kitambo sana, toka 2007 huko namsikia hadi leo bado yupo strong,
Nani anamjua huyu jamaa? Na napenda kujua katumia mbinu gani kudumu sokoni?
Jamaa kadumu kwenye game la nguo toka kitambo sana, toka 2007 huko namsikia hadi leo bado yupo strong,
Nani anamjua huyu jamaa? Na napenda kujua katumia mbinu gani kudumu sokoni?