Riz1 wa Uganda!!!

hapo sasa unatupeleka wapi mkuu 🙂 ....lakini huyu dogo wa UG yeye amepiga kwata ya kutosha, nahisi anaweza kubebeka japo upinzani mkubwa. Huyu RZ1 wetu sisi ni pesa pesa tu!
 
Katika mpango mzima wa kurithishana madaraka siyo?
 
Ukitaka kujua Africa kuna udikteta basi huyu mtoto nahisi anaandaliwa!
 
alikuwepo husein mubark na watoto wake..leo yupo wapi..? Sembuse riz moja? Bado miaka minne..!
 
wezi hawa wanaogopa wkitoka
madarakani wasisumbuliwe
ndo maana wanawaandaa
hata kagame anamuandaa wa kwake!
 
alikuwepo husein mubark na watoto wake..leo yupo wapi..? Sembuse riz moja? Bado miaka minne..!

Hayo mambo wanayaweza Waarabu tu, wakikuchoka wanahakikisha mpaka unatoka, wewe utabaki kubwabwaja domo tu,maneno meeeeeeeeengi.
nothing u can do. ngozi nyeusi tumelaaniwa.
 
Hayo mambo wanayaweza Waarabu tu, wakikuchoka wanahakikisha mpaka unatoka, wewe utabaki kubwabwaja domo tu,maneno meeeeeeeeengi.
nothing u can do. ngozi nyeusi tumelaaniwa.

hiki ni kizazi kingine ...! dotcom generation..! kwani wakenya ni waarabu..??
 
bora huyu anaweza akabebeka.... huyu wa kwetu sijapata wa kumlinganisha naye... bonge la kilaza.... shwain
Hukumbuki kuwa ana jiwe la sheria la kujitegemea pamoja na usharobaro wake kama wa dingiake??
 
aweke hata ukoo mzima jeshini ila kikiwaka hatakizima
 
hakuna dora inayodumu milele. before your eyes they will fall down.
 
hakuna cha hirizi 1 wala nini hao wanamuandaa
huyo jamaa akitoka m7 anakuja mwanawe lool
uchu tu wa madaraka hawana lolote
 
Kota pin ya baiskeli inaingizwa kwa nyundo na inatolewa kwa nyundo basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…