tatizo huyu jamaa naye anapendaga sana kuitwa itwa mkuu mkuu,tunaomba,tunaomba,kama umeamua kuwapa burudani basi fanya hivyo,kuna watu wakiamua ku post story wanapost kweli×2..any way atakuja na hoja zake naye mara sishindi jamii,mda si mlefu mtasikia mb,,hata mzuka wa kusoma unapotea aiseeee..!!Asanteh kulubule tunasubiri Cha pili!
Nimekuita hapa ndugu? Unadhani kila mara niko online usipoweza kusubiri tafuta nyuzi zingine usometatizo huyu jamaa naye anapendaga sana kuitwa itwa mkuu mkuu,tunaomba,tunaomba,kama umeamua kuwapa burudani basi fanya hivyo,kuna watu wakiamua ku post story wanapost kweli×2..any way atakuja na hoja zake naye mara sishindi jamii,mda si mlefu mtasikia mb,,hata mzuka wa kusoma unapotea aiseeee..!!
honestly this is not good! Kwa nn unatutesa? Yan tuwe tunakuomba omba kila saa kama unazo s uweke tu episodes za kutosha? Sio vizur mkuu hata ungekua wewe ungekwazika na hiki kitu unafanya, saa huo muda ulomjibu hapo s ungeweka hata ngapi basi? Ama kweli bure ghaliNimekuita hapa ndugu? Unadhani kila mara niko online usipoweza kusubiri tafuta nyuzi zingine usome
tulia madame,,hope ungekuwa nayo ww hii,daaaa..........honestly this is not good! Kwa nn unatutesa? Yan tuwe tunakuomba omba kila saa kama unazo s uweke tu episodes za kutosha? Sio vizur mkuu hata ungekua wewe ungekwazika na hiki kitu unafanya, saa huo muda ulomjibu hapo s ungeweka hata ngapi basi? Ama kweli bure ghali
yan navujiwa balaa me nisingeikawiza hivi hata kama unakua busy lakini upatapo wasaa unaachia tu kiasi afanye kama steve molleltulia madame,,hope ungekuwa nayo ww hii,daaaa..........
Guys kwa mfano ndio narudi home now Sadeki imenibana kesho nitawapa vigongo
Msijari japo itachelewaTunasubiria ahadi yako mkuu
Msijari japo itachelewa