Mbwa wa geti
Sehemu ya kumi na saba
Zedi alihitji kuingia pale ndani na alihitaji kujua chanzo cha mauji yale kila siku na pia alihitaji kujua hao mbwa weupe kazi yao.
Akapita kwa kwenda mbele huku nafsini mwake akijionya kutokufaya lolote maana hakujua nguvu iliokuwa pale nyumbani kwa jafo.
Swali moja likabaki kwanini jafo aliingilia harakati za wenzie huku kwa haraka ikionekana lote ni kundi moja?!
Muda ulikuwa unamtupa mkono na hapo akakumbuka namba za siri alizopewa na mtu aliekua mateka kwenye ngome ya kabah.
“za nini zile namba!?” ajajiuliza peke yake huku sasa akiwa yupo nyuma ya mahakama na alikuwa anajaribu kuona uwezekanao wa yeye kuingia kinyemela ndani ya nyumba ya Jafo.
Akaona ugumu wa kuingia pale jioni ile akagairi na hapo akaikumbuka namba ya simu ya Wambui na akaona yule binti kuna kitu anajua akatabasamu huku mawazo yakiwa kusogea hadi zilipo ofisi za kupiga simu kwa kulipia.
*****
Burizozo ndie aliekuwa amesalia kwenye nyumba ya Kabah.
Na alikua anatazama chumba alichofungiwa Tausi,huku mikononi mwake akiwa kamshika mtoto wa Tausi aliekuwa kasizi akitoa udenda,lakini yeye kuna kitu alikuwa anakitaka muda huo.
Ngono !!!
Ngono kutoka kwa Tausi.
Akamweka mtoto pembeni kisha akapiga hatua kwenda hadi chumba alicholafungiwa Tausi akakifungua na kukutana na mwili wa Tausi ukiwa umelelala juu ya dimbwi la maji huku akitetemeka kwa baridi na njaa na kubwa zaidi alitetemeka kwa kuhitaji furaha ya ajabu,furaha ambayo ni ngumu kuipata.
Burizozo akamnyanyua na kwenda nae hadi sebuleni kisha akamkaliza na kumletea chakula,Tausi alikifakamia kama hana akili nzuri na ndani ya muda mfupi akawa amemaliza.
Lakini si njaa tu iliokuwa inamtesa Tausi,hata kule kukosa unga tu kulimtesa tena kuliko hata njaa ya chakula.
Tausi akaomba dawa na hiyo ndio ilikuwa tiba yake.
Kuomba kwake kulingojewa kwa hamu na Burizozo aliekuwa amemgeuza mke wa rafiki yake kuwa wake na sasa alikuwa anataka tena kujiridhisha.
Kwa kuwa alitaka basi hakuwa na budi kukubali masharti ya Burizozo,akavua nguo sebuleni mbele ya mwanae aliekuwa kalala kwenye kochi nae akiwa hajitambui kwa dozi.
Burizozo akanyoosha mkono ili ampe dawa ila akarudisha haraka baada ya kuona mikono ya Tausi kutaka kushika.
Burizozo alikuwa anatoa tabasamu la kifedhuli na kisha akatamka jambo gumu kufanyika kwa binadamu mwenye damu na nyama kisha akajaliwa akili timamu.
Alikuwa anataka tarabu ya Tausi na hapo Tausi akacharuka akajitazama alivyouchi wa mnyama kwa kuwa tu alihitaji kupata kete lakini sasa mtu wa kumpa kete anataka kuzunguka ukuta ndo atoe,hakika ulikuwa ni udhalilishaji wa hali ya juu sana.
Akatamani akatae lakini tamaa ya kupata dozi ikamzidi,lakini kukubali ikawa ndio ngumu akabaki akilia huku nafsi ikiwa inataka japo kupata hata tone tu la unga.
Burizozo matamanio ya kumuona Tausi akiwa uchi yakamzidi na akaona anacheleweshwa,haraka akamfikia na kumlaza kwa nguvu,kisha akaanza kumwingilia kwa nguvu huku Tausi akipiga makelele yaliomstua hadi mtoto aliekuwa anaelea kwenye bahari ya amani.
Mtoto alishuhudia mama yake akiwa analazimishwa kutoa tarabu kwa makofi na bado kumbukumbu zake hazikuwa mbali hasa alipokumbuka yakuwa ni jana tu walipigwa yeye na *****,lakini mtoto yule hakuwa na nguvu za kupambana akabaki kuwa mtazamaji wa filamu ile ya kufedhehesha.
Itaendelea