Mkuu Kudo
Wasalaam
Riwaya zako ni nzuri sana,ushauri wangu ni kwamba huwa unakuwa na mwisho wenye mambo mengi sana kwa pamoja,yaani page moja yako inaweza kuwa page hata kumi kwa mtu meingine,una "kondensi" riwaya
Embu cheki hilo mkuu
Wasalaaam
Mweweso