TANGAZO MUHIMU
HARAMBEE KABAMBE iitwayo
MWEZESHE MWANDISHI KUYAFIKIA MALENGO.
Kwa wale wote wadau na wapenzi wa simulizi, Mwandishi wenu nakuja na ombi la kunichangia kiasi cha pesa ulichonacho ili kuniwezesha kutimiza ndoto yangu. Nimechukua maamuzi haya baada ya kuwahudumia kwa kuwapa simulizi zangu kwa njia ya mitandao zaidi ya miaka3 bure.
Mtoto wenu, kinama mwenzenu, kaka yenu , nimeona ni wakati wangu mwafaka wa kupiga hatua katika fun hii ya uandishi. Haja yangu kubwa ni kutoa vitabu na kuvisambaza,lengo likiwa ni kuwafikishia ujumbe wa kuelimisha na kuburudisha watu wengi ndani nan je ya Tanzania pia nami nipate ridhiki.
Sikumoja nilipata email toka OMAN kuna mtu aliniambia anafatilia sana simulizi zangu kwa njia ya midandao, lakini kwakuwa ninatabia za kuziondoa baada ya muda alitamani sana nimtumie vitabu kupitia ndugu yake ambaye yupo TZ. Niliumia kuona napoteza fulsa ile ya kujiingizia kipato lakini pia kuitangaza Lugha yetu ya Kiswahili. Ninapata simu mara kwa mara za watu kuhitaji vitabu vyangu ila sina. Hata hivyo niliamini muda wangu ulikuwa bado.
Wadau wa kundi hili la PUMZISHO LA UBONGO ninaimani mengi nimeeleza kwenye MAKALA yangu niliyopost ndani ya kundi, kama hujaisoma basi nakuomba itafute na uisome. Hakika utajifunza mengi.
Wadau, hakuna kidogo kwangu,mchango wako wowote angalau kuanzia Tsh. 500/= na kuendelea unaumuhimu mkubwa sana kwangu. Naomba tuhamasike ili nasi waandishi wachanga tupige hatua na kufika walipo waandishi wakubwa. Tazama leo Shigongo amekuwa balozi wa timu ya vijana TZANZANIA ili kukusanya pesa za kuendesha shughuli zao. Ni wazi anaumuhimu katika taifa. Lakini ukifatilia utagundua hakuanza yeye mwenyewe bali aliwezeshwa akainuka na sasa anategemewa hadi na taifa kwa namna moja au nyingine.
Tazama wasanii mfano Diamond, leo amekuwa na nafasi kubwa katika taifa kwakuwa aliwezeshwa. Ingawa wewe haukumpa pesa moja kwa moja ila eidha uliingia kwenye show yake, uli vote alipokuwa anawania TUNZO, au kununua kazi zake kama WCB kupitia wasafi.com wanavyouza sasa. Hii yote inamaanisha mchango wako wewe mdau ndio mafanikio ya yule umpendaye.
Ibrahim Masimba naomba nichangie kwa njia kuu mbili:
Ukiwa umeguswa na kazi zangu naomba toa mchango wako wowote ili kufanikisha hili
Unaweza nichangia pia kwa kulipia kila ninapotangaza kuuza simulizi yangu kupitia mitandao ambazo zitakuwa zinapatikana kwa bei rahisi sana.
TUTAMBUE HESHIMA YA MTUNZI NI KUWA NA NAKALA ZA VITABU, KAMA ILIVYO KWA MSANII WA KUIMBA AMBAPO HESHIMA HUJA KAMA ANA ALBUM.
Tuma mchango wako kwenda namba moja tu. TIGO PESA 0675191162
M PESA 0745373585
HALO PESA 0628969272
*************************
KUMCHANGIA MWANDISHI NI STAHIKI KWAKUWA HUFANYA KAZI KWAAJILI YAKO.
*************************
Ahsanteni .