Riwaya: Mke wa Rais

Riwaya: Mke wa Rais

We ni noma mkuu, una kipaji haswa. Ila naomba unisaidie, Canada wanaongea kiswahili? Maana naona wote wanatiririka kiswahili
Mimi sio Shigongo na Hata Riwaya zetu Hazifanani.. unawezekana huzifahamu Riwaya za aina hii.. Nikuulize swali ushawahi kuona wapi Riwaya za Hayati BEN MTOBWA NA ELVIS MUSIBA ZIKIWA NA LUGHA TOFAUTI? TUTARUDI NA ROHO ZETU LICHA YA ASILIMIA 80 KUWA KATIKA NCHINI ZA MAGHARIBI UMEONA KUNA SEHEMU KULIKUWA NA LUGHA TOFAUTI NA KISWAHILI?

TUACHE UTUMWA WA KIFIKRA
 
Huyu ni msimulizi ndio maana anatumia lugha moja, canada unaongea kiswahili mkiwa na wabongo wenzio, pia kuna watasha wanaongea kiswahili vizuri tu
 
Back
Top Bottom