Shusha nyingine mkuu
Endelea basi ibra
Teh teh tehNitaisoma mwakani,najua itakuwa imekaribia kuisha
HahahhhNitaisoma mwakani,najua itakuwa imekaribia kuisha
Duuu hii story vipi imepatwa au?
Mkuu shikamoo kwa kitu kwa kitu cha maana nimekumbuka mbali sana TAFRIJA YA DAMU, KUFA NA KUPONA,JE TUTARUDI NA ROHO ZETU? NA SALAM TOKA KUZIMU. Uandishi wako unaonyesha wewe ndio umekuja kuikomboa tasnia hii ya riwaya za kipelelezi na ujasusi wa kiwango cha kusisimua, mkuu ukitoa kitabu rudi hapa hapa utuambie ili tujipatie nakala zetu mapema
Umesha Soma Paniela?
Ahsante sana mkuu, umenipa nguvu na hamasa ya kusonga mbele. watu hawatambui kuwa hii kitu si copy na kupest. Hii inatoka kichwani kwangu na kuletwa hapa moja kwa moja. anayeujua ujasusi hasa hawezi kuondoka hapa wala kuipuuza hii. Haifanani na hizo zaidi ya zile za MUSIBA NA BEN MTOBWA. tuendelee mkuuMkuu shikamoo kwa kitu kwa kitu cha maana nimekumbuka mbali sana TAFRIJA YA DAMU, KUFA NA KUPONA,JE TUTARUDI NA ROHO ZETU? NA SALAM TOKA KUZIMU. Uandishi wako unaonyesha wewe ndio umekuja kuikomboa tasnia hii ya riwaya za kipelelezi na ujasusi wa kiwango cha kusisimua, mkuu ukitoa kitabu rudi hapa hapa utuambie ili tujipatie nakala zetu mapema
Ahsante sana mkuu, umenipa nguvu na hamasa ya kusonga mbele. watu hawatambui kuwa hii kitu si copy na kupest. Hii inatoka kichwani kwangu na kuletwa hapa moja kwa moja. anayeujua ujasusi hasa hawezi kuondoka hapa wala kuipuuza hii. Haifanani na hizo zaidi ya zile za MUSIBA NA BEN MTOBWA. tuendelee mkuu
Ahsante sana mkuu, umenipa nguvu na hamasa ya kusonga mbele. watu hawatambui kuwa hii kitu si copy na kupest. Hii inatoka kichwani kwangu na kuletwa hapa moja kwa moja. anayeujua ujasusi hasa hawezi kuondoka hapa wala kuipuuza hii. Haifanani na hizo zaidi ya zile za MUSIBA NA BEN MTOBWA. tuendelee mkuu