Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Kama kwake kuna ridhaa basi naona shida mkubwa. Poa hicho kijiti nakipokea Mkuu. PM inakuja.

Duuu kweli mkuu lkn kwa upande wake na wangu haina shida coz kabla ya.haya yote nilimwomba ridhaa yake akanambia haina shida. ndio nikaweka hapa ndio maana yeye kaweka mpaka namba yake .mkuu harafu nataka nikutupie kijiti cha queen monica .PM namba yako mkuu
 
Mkuu kumbuka hapa burudani hii inatolewa bure harafu kuna maisha nje ya jf wengi wetu humu hilo hatulizingatii sana but huwa tunakuwa wepesi wa kuporomosha lawama na kejeri na matusi kwa watu wanao jitolea.

Harafu hakuna aijuaye kesho yetu so mtu anapokwama kuleta mwendelezo sio makusudi but kuna mambo huwa yanaingiliana san
Sasa sibora uache kama unajua huwezi maliza kuliko kutuzingua
 
Walikuwa wanampenda wenyewe.Huko mbele kuna bifu la kumgombea demu mkali Tete.Daa.Nachungulia humu kila baada ya nusu saa kuona kama imetupiwa....Riwaya hizi ilikuwa ni zaidi ya kuangalia filamu kali.
Nasubiria.. ..
 
Hapana mwadi hakupita nae mwadi alikufa kifo cha kuchomwa kisu kabla ya mambo hayajaiva ila TETE ndio alikuja kumaliza huyu alikuwa bibi wa Muteba mmoja kati ya wamiliki wa garages.
Spot on brooo!!...
Jamaa walimtuhumu kwa nini hakutuma jina la Willy!!!
 
Back
Top Bottom