Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Uzuri wa riwaya za Musiba ni kwamba kwenye issue za mapambano ni mapambano kweli,kwenye mapenzi ni mapenzi hasa yaani utadhani unatazama mubaashara!
 
Sa ukose hapa uende wapi sasa mkuu

Nashukuru mkuu
Wife kaniandikia kama kapata vitabu!Ww ni mtu wa ahadi sio wa longo longo!
Sasa pls nitafutie hiki cha Kikosi cha Kisasi ninakihitaji sana pia!
By the way umemuona mke wangu alivyo mrembo?
 
Nashukuru mkuu
Wife kaniandikia kama kapata vitabu!Ww ni mtu wa ahadi sio wa longo longo!
Sasa pls nitafutie hiki cha Kikosi cha Kisasi ninakihitaji sana pia!
By the way umemuona mke wangu alivyo mrembo?
sawa mkuu, usihofu nikikipata nitakwambia.
 
Nashukuru mkuu
Wife kaniandikia kama kapata vitabu!Ww ni mtu wa ahadi sio wa longo longo!
Sasa pls nitafutie hiki cha Kikosi cha Kisasi ninakihitaji sana pia!
By the way umemuona mke wangu alivyo mrembo?
Hahahaha aseee nimemuona hongera sana kwa kuchagua shemeji wa maana.
Uko vizuri kaka.
Hongera sana.
 
Jamaa siku ya pili sasa hamna andiko
Katuyeyusha na yy au?
 
Uzuri wa riwaya za Musiba ni kwamba kwenye issue za mapambano ni mapambano kweli,kwenye mapenzi ni mapenzi hasa yaani utadhani unatazama mubaashara!
Musiba ni zaidi ya talented. ..pia walikuwepo Eddy Ganzel na kitabu cha riwaya " Kijasho Chembamba " na Katallambula na kitabu cha riwaya "Buriani ", hawa watunzi ukweli walikuwa wanafahamu jinsi ya kuteka mioyo ya wasomaji wao, ilikuwa ni zaidi ya kuangalia kwenye TV
huyo mwadi lazima apite nae
 
Musiba ni zaidi ya talented. ..pia walikuwepo Eddy Ganzel na kitabu cha riwaya " Kijasho Chembamba " na Katallambula na kitabu cha riwaya "Buriani ", hawa watunzi ukweli walikuwa wanafahamu jinsi ya kuteka mioyo ya wasomaji wao, ilikuwa ni zaidi ya kuangalia kwenye TV
Walikuwapo pia kina Hammie Rajab na vitabu vyake kama Sanda ya jambazi na Kamlete akibisha mripue.Kulikuwa na Simbamwene na vitabu vyake mauaji lodging,muuaji ni nani?,Pesa zako zinanuka.Huyu ndiye mwandishi aliyetunga riwaya nyingi sana hapa Tanzania.Hata baba yake Banana,Zahir Ali Zorro naye aliandika riwaya mbili kali Unyama wa mafia part 1&2 na Kabwe makanika.Enzi hizo kuna watu mitaani walijiita Willy Gamba,Inspector Forg,Kachelo Haji,Joram Kiango,Suresh Kanji,Elungata,Baruni mwasi,Mzee Ole nk.Yaani ilikuwa raha sana.
 
Walikuwapo pia kina Hammie Rajab na vitabu vyake kama Sanda ya jambazi na Kamlete akibisha mripue.Kulikuwa na Simbamwene na vitabu vyake mauaji lodging,muuaji ni nani?,Pesa zako zinanuka.Huyu ndiye mwandishi aliyetunga riwaya nyingi sana hapa Tanzania.Hata baba yake Banana,Zahir Ali Zorro naye aliandika riwaya mbili kali Unyama wa mafia part 1&2 na Kabwe makanika.Enzi hizo kuna watu mitaani walijiita Willy Gamba,Inspector Forg,Kachelo Haji,Joram Kiango,Suresh Kanji,Elungata,Baruni mwasi,Mzee Ole nk.Yaani ilikuwa raha sana.
Mkuu wee acha tu kuna kitabu kilikuwa pia kizuri sana kiliitwa, "MIKONONI MWA MAUTI" bahati mbaya simkumbuki mtunzi wake...hivi vitabu watunzi walikuwa na creativity ya hali ya juu sana.
 
Back
Top Bottom