Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Iddy eba unanikumbusha mbali sana na hizi riwaya za Elvis Musiba. Please nahitaji kupata vitabu hivi vya willy gamba na joram kiango ntavipata wapi?
Mkuu upo mkoa gani.vitabu vya joram kiango ni rahisi kuvipata coz mwanae bado analiendeleza gurudumu la marehem babaye.na nimember humu jf pia. Ila vya msiba vipo but ni nadra sana kuvipata ni vya msimu lkn kama upo dar kuna sehem naweza kukuelekeza au kukuunganisha na mtu akakuuzia au hata mkoani akakutumia pia.

Namba ya mwanae mtobwa/joram kiango 0763044459
 
Mkuu kama hutaimaliza hapa useme kabisaa .

Kwa wanao hitaji kitabu cha
1 kikomo.

2; Njama

3; Umsolopagaus.

4; mashimo ya mfalme suleiman.
Anitafute.
Mkuu kumbuka hapa burudani hii inatolewa bure harafu kuna maisha nje ya jf wengi wetu humu hilo hatulizingatii sana but huwa tunakuwa wepesi wa kuporomosha lawama na kejeri na matusi kwa watu wanao jitolea.

Harafu hakuna aijuaye kesho yetu so mtu anapokwama kuleta mwendelezo sio makusudi but kuna mambo huwa yanaingiliana san
 
Mkuu kumbuka hapa burudani hii inatolewa bure harafu kuna maisha nje ya jf wengi wetu humu hilo hatulizingatii sana but huwa tunakuwa wepesi wa kuporomosha lawama na kejeri na matusi kwa watu wanao jitolea.

Harafu hakuna aijuaye kesho yetu so mtu anapokwama kuleta mwendelezo sio makusudi but kuna mambo huwa yanaingiliana san
Nakuelewa mkuu
 
Hakika, Mimi napatikana mwanza, na navihitaji kwa kweli kwani nakumbuka mbali. Please give me a lead
 
Mkuu upo mkoa gani.vitabu vya joram kiango ni rahisi kuvipata coz mwanae bado analiendeleza gurudumu la marehem babaye.na nimember humu jf pia. Ila vya msiba vipo but ni nadra sana kuvipata ni vya msimu lkn kama upo dar kuna sehem naweza kukuelekeza au kukuunganisha na mtu akakuuzia au hata mkoani akakutumia pia.

Namba ya mwanae mtobwa/joram kiango 0763044459
Mkuu mimi naomba unielekeze kwa hapa Dar,wapi naweza kupata "KUFA NA KUPONA" na hiki "KIKOSI CHA KISASI"?.
 
Njama. Kufa na Kupona. Kikosi Cha Kisasi.

Umenikumbusha miaka ya themanini. Mambo ya Aristablus Elvis Musiba.

R.I.P

Nakumbuka darasa lanne niliazimwakitabu cha kurasa zaidi ya 300 (Njama) nikakimaliza siku moja kwa sababu kilikuwa na heavy demand.
 
Mkuu upo mkoa gani.vitabu vya joram kiango ni rahisi kuvipata coz mwanae bado analiendeleza gurudumu la marehem babaye.na nimember humu jf pia. Ila vya msiba vipo but ni nadra sana kuvipata ni vya msimu lkn kama upo dar kuna sehem naweza kukuelekeza au kukuunganisha na mtu akakuuzia au hata mkoani akakutumia pia.

Namba ya mwanae mtobwa/joram kiango 0763044459

Niunganishe kwa mtu ambaye atanipa vitabu vya Willy Gamba
Pls ni PM
 
Vitabu vya Ben Mtobwa vinapatikana Kkoo.Njama na Kikomo vinapatikana pia Kariakoo ila Kikosi cha Kisasi sijakiona kwa sasa.
 
Back
Top Bottom