Unastahili milikes kibaoHivi dawa ya kuacha kusoma hizi hadithi zinazoletwa him jf ni ipi?
Kwani nimegundua kuna watu wanazileta humu ili kuwatesa wenzao
Mateso bila chukiHivi dawa ya kuacha kusoma hizi hadithi zinazoletwa him jf ni ipi?
Kwani nimegundua kuna watu wanazileta humu ili kuwatesa wenzao
Ni kweli. Ila wangefanya ustaarabu tu wakutujuza hata tatizo lilipo.Dawa ni kuwa mpole tu maana vya bure wakati mwingine vinatesa
Mkuu subiria hapo hapo usibonyeze kitufeKIDOKEZO
Si kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai.Nilishangaa kidogo Chief aliponiamuru nifuatilie tatizo la upungufu wa almasi.Isingekuwa kwa sura aliyoonesha,nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipe uhamisho kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukukubali.Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika Masoko ya nje zilikuwa chache sana Kulinganisha na kiasi kilichochimbwa,kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio.Askari polis Joel amegusa chanzo cha uhalifu,akafa katika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake Amanda,na uhalifu ukaendelea.
Chifu alimtuma Jack Mbwile,mpelelezi wa kawaida,lakini maiti yake ikaokotwa ikielea katika ziwa Victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa.Ndipo nikatumwa mimi,Willy Gamba
Lahaula!Kama ungetumwa wewe nina hakika ungekimbia na kupotea Kabisa!Lakini mimi sio wewe.Safari yangu ilinichukua katika miji ya Mwanza,Shinyanga,Maganzo na Songwa na uvundo nilioufichua ulisababisha umwagaji mkubwa wa damu na kuteketeza maisha ya watu wengi.
Yalikuwa mapambano makali na kila mmoja wetu alishangaa kuona ni nani alikuwa anaongoza uhalifu huo.
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako.
Hapana ninavyo Njama na kikomo!Mkuu umekipata hujuma na kufa na kupona?
PAMOJA SANA carina TiIddy jamaniiii ... kaonekana leo saa sita mchana ila Kibajajitz tangu jana usiku hajaamka ...
Tuweni wavumilivu.
Nahisi iddy atakuwa anaitype tusubirieni vitu.
Kama fanya yako wakati Tunawachora mwaga upupuDah,wametukazia

. Kuna watu hawapendi tufurahi

. Mungu wajalie Neema yako hawa binadamu wako. Japo wanajitolea, kwa unyenyekevu wamalizie tu kurasa zilizobaki



Atavikuta pia yupo mwanae humuAsante Lege. Kwa hyo ukienda hapa TPH utavikuta vitabu vya Musiba au?? Au ni kubahatisha??? Nitajaribu kwenda wiki hii aisee ndugu.
Kaka hivi vitabu vina hatimiliki za watu sasa hapa tunaibaiba tu tumshukuru mwanaye anatuchukulia poa sana.Ni kweli. Ila wangefanya ustaarabu tu wakutujuza hata tatizo lilipo.
Hivi wangejisikiaje kama wangeweka hadithi halafu wakose wa kuzisoma wala kuchangia? Wangejisikiaje?
Watuthamini nasi kama wadau wao. Kama kuna tatizo watuambie ili tuwe pamoja