mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
Nakusalimia pia mkuu.sema nipo kwenye daladala jioni nikimaliza kupiga debe nitawaleteaKibajajitz nakusalimia
Nakusalimia pia mkuu.sema nipo kwenye daladala jioni nikimaliza kupiga debe nitawaleteaKibajajitz nakusalimia
Nakusalimia pia mkuu.sema nipo kwenye daladala jioni nikimaliza kupiga debe nitawaletea[/QUOTEchief mpaka jioni mbali sana. Gfanya hada kidogo kaka.
Doh,pande za wapi uliwaona?Mkuu leo umepotea nimemuona tete, mwadi, na ntumba wanakupa salamu
Mkuu unataka kuanza kutuletea KIKOMO? TujiandaeKIDOKEZO
Si kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai.Nilishangaa kidogo Chief aliponiamuru nifuatilie tatizo la upungufu wa almasi.Isingekuwa kwa sura aliyoonesha,nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipe uhamisho kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukukubali.Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika Masoko ya nje zilikuwa chache sana Kulinganisha na kiasi kilichochimbwa,kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio.Askari polis Joel amegusa chanzo cha uhalifu,akafa katika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake Amanda,na uhalifu ukaendelea.
Chifu alimtuma Jack Mbwile,mpelelezi wa kawaida,lakini maiti yake ikaokotwa ikielea katika ziwa Victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa.Ndipo nikatumwa mimi,Willy Gamba
Lahaula!Kama ungetumwa wewe nina hakika ungekimbia na kupotea Kabisa!Lakini mimi sio wewe.Safari yangu ilinichukua katika miji ya Mwanza,Shinyanga,Maganzo na Songwa na uvundo nilioufichua ulisababisha umwagaji mkubwa wa damu na kuteketeza maisha ya watu wengi.
Yalikuwa mapambano makali na kila mmoja wetu alishangaa kuona ni nani alikuwa anaongoza uhalifu huo.
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako.
KK ikiishaMkuu unataka kuanza kutuletea KIKOMO? Tujiandae
AnakujaaLeo mkuu Kibajaji umetupa adhabu kweli toka asub. hatukauki kuchungulia humu...
Hiki kitabu nilisoma kwa haraka sana miaka ya 90 Mwanzoni, kiasi hakijanikaa vizuri kichwani, nahitaji kusoma tena.KIDOKEZO
Si kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai.Nilishangaa kidogo Chief aliponiamuru nifuatilie tatizo la upungufu wa almasi.Isingekuwa kwa sura aliyoonesha,nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipe uhamisho kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukukubali.Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika Masoko ya nje zilikuwa chache sana Kulinganisha na kiasi kilichochimbwa,kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio.Askari polis Joel amegusa chanzo cha uhalifu,akafa katika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake Amanda,na uhalifu ukaendelea.
Chifu alimtuma Jack Mbwile,mpelelezi wa kawaida,lakini maiti yake ikaokotwa ikielea katika ziwa Victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa.Ndipo nikatumwa mimi,Willy Gamba
Lahaula!Kama ungetumwa wewe nina hakika ungekimbia na kupotea Kabisa!Lakini mimi sio wewe.Safari yangu ilinichukua katika miji ya Mwanza,Shinyanga,Maganzo na Songwa na uvundo nilioufichua ulisababisha umwagaji mkubwa wa damu na kuteketeza maisha ya watu wengi.
Yalikuwa mapambano makali na kila mmoja wetu alishangaa kuona ni nani alikuwa anaongoza uhalifu huo.
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako.
Sawa sisi tunajiweka tayari kusubiria hicho KIKOMO.Hiki kitabu nilisoma kwa haraka sana miaka ya 90 Mwanzoni, kiasi hakijanikaa vizuri kichwani, nahitaji kusoma tena.
mkuu anzisha uzi wake basi tukujeKIDOKEZO
Si kazi yangu kujishughulisha na makosa ya jinai.Nilishangaa kidogo Chief aliponiamuru nifuatilie tatizo la upungufu wa almasi.Isingekuwa kwa sura aliyoonesha,nilitaka kumwambia apeleke malalamiko yake kwa kamishna wa polisi au anipe uhamisho kwenda huko kama alikuwa hanihitaji katika idara yake.
Siku hiyo alivaa sura ya kutisha na sikuwa na la kufanya ila kukukubali.Kulikuwa na ushahidi kwamba almasi zilizouzwa katika Masoko ya nje zilikuwa chache sana Kulinganisha na kiasi kilichochimbwa,kwa nini?
Idara ya upelelezi ya makosa ya jinai imejitahidi bila mafanikio.Askari polis Joel amegusa chanzo cha uhalifu,akafa katika ajali ya ndege siku chache kabla ya kufunga ndoa na mchumba wake Amanda,na uhalifu ukaendelea.
Chifu alimtuma Jack Mbwile,mpelelezi wa kawaida,lakini maiti yake ikaokotwa ikielea katika ziwa Victoria na uzito wa jambo zima ukawa umetambuliwa.Ndipo nikatumwa mimi,Willy Gamba
Lahaula!Kama ungetumwa wewe nina hakika ungekimbia na kupotea Kabisa!Lakini mimi sio wewe.Safari yangu ilinichukua katika miji ya Mwanza,Shinyanga,Maganzo na Songwa na uvundo nilioufichua ulisababisha umwagaji mkubwa wa damu na kuteketeza maisha ya watu wengi.
Yalikuwa mapambano makali na kila mmoja wetu alishangaa kuona ni nani alikuwa anaongoza uhalifu huo.
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako.
Nlitegemea jibu la aina hiihii kutoka kwa teja wa simulizi za taharuki hahaha otherwise ningepigwa na butwaamkuu anzisha uzi wake basi tukuje
jamaanNlitegemea jibu la aina hiihii kutoka kwa teja wa simulizi za taharuki hahaha otherwise ningepigwa na butwaa
atuanzishie tu uzi wake tutaenda kusoma