Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Riwaya: Kikosi cha Kisasi

Panaitwa TPH hapo ndio chaka la vitabu.cha kufurahisha vitabu vya kibongo vinachapwa kenye nakuja kuuzwa bongo watu wanapiga mpunga tuu.wabongo tumelala watunzi wetu kama wakina msiba hawaachi misingi basi watu wanafaidi tuu kazi zao
Asante Lege. Kwa hyo ukienda hapa TPH utavikuta vitabu vya Musiba au?? Au ni kubahatisha??? Nitajaribu kwenda wiki hii aisee ndugu.
 
Mkuu hicho kitabu ni kama lupia aisee ukiwa nacho kinapotea kimaajabu ajabu sana sijui kwa nini
Usemacho ni kweli mkuu mimi nilikuwa nacho na nimedhulumiwa hivi hivi
 
Asante Lege. Kwa hyo ukienda hapa TPH utavikuta vitabu vya Musiba au?? Au ni kubahatisha??? Nitajaribu kwenda wiki hii aisee ndugu.
Unaweza kuvipata lkn vya msiba mitaa ya k/koo vipo kibao mbona kwa wauza magazeti na hata ubungo nishawahi viona. Lkn sio cha kikosi cha kisasi.
 
Hivi dawa ya kuacha kusoma hizi hadithi zinazoletwa him jf ni ipi?

Kwani nimegundua kuna watu wanazileta humu ili kuwatesa wenzao
 
Back
Top Bottom