Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaanza tena na riwaya au documentary ya ww2 tuendelea hapahapaNgoja nihamie Madagascar
Safi sana mfalme shukurani nyingi kwako ndugu yetuNimeileta mpaka mwisho
pamoja sana kingNitaanza tena na riwaya au documentary ya ww2 tuendelea hapahapa
Nimekumiss ujueWakuu tunaomba kufa na kupona please
Pana Njama hapa ila muziki kuichapa ndo shughuliKing hauna mzigo mwingine??
piga picha pages utupie humu kama alivyofanya zodiacPana Njama hapa ila muziki kuichapa ndo shughuli
Ladha inapungua pili ufundi wa kupiga picha na kutupia sinao kwa kweli hebu lete maelekezo kisha nitupiepiga picha pages utupie humu kama alivyofanya zodiac
Anzisha tuwape wadau uhondo mimi pia ninacho ila namna ya kupiga picha na kutuma ni tatizo kwangu na nilikuwa najihisi sitendi haki kitu ninacho kwa nini wadau wasiburudike so fanya hivyo ndugu yangu nami nitafarijika.Njama ninancho vipi niazishe uzi mbona kama kilikuwepo humu
Tuendelee wenye thread hii hapa au tuanzshe nyingineAnzisha tuwape wadau uhondo mimi pia ninacho ila namna ya kupiga picha na kutuma ni tatizo kwangu na nilikuwa najihisi sitendi haki kitu ninacho kwa nini wadau wasiburudike so fanya hivyo ndugu yangu nami nitafarijika.