Usije ukanogewa ukasahau kupikaMzaramo acha hzo bs,sasa hv utupie hata 5 kwa mpigo
Tupe cha kulalia basiahaa ahaaa kesho tunakuja kumalizia kombolera yetu kabisa na kukomboa wengine
mkuu ukienda ngomani lazima uongezee idadi ya michepuko na kule mademu unawapata kirahisi kabisa hasa tuliotoka mjiniTatizo Wazarano na Ngoma ni kama mwanaume na michepuko. Wapo Radhi kuacha wake Zao na waume zao vitandani kwa sababu ya kwenda ngomani
Duh.. Itabidi nitembelee uzaramoni siku moja.mkuu ukienda ngomani lazima uongezee idadi ya michepuko na kule mademu unawapata kirahisi kabisa hasa tuliotoka mjini