Baadaye kidogo nitawaonjesha ...cover naweza kubadilisha bila ya shaka
Kisa na mkasa?
hahahahahaah kufukuziwa mfululizo mchezo!lol ila kweli itakuwa tunazeeka siku hizi!Si umenikumbushia kufukuziwa mfululizo. Na mie nshazeeka siku hizi hakuna wa kufukuzia mfululizo, nataka kuanzisha project kama ya Deo, lol
Sasa ndo nini kuikatisha. Au simu ya mchina? Manake hizo kurasa 370 anzoongelea Companero sizioni. Nimemabualia sijui 4?
hahahahahaah kufukuziwa mfululizo mchezo!lol ila kweli itakuwa tunazeeka siku hizi!
hehe vipi una mswaki wa namba nini? mimi nina kurasa 37 tu hiyo 370 ni madolali ya uhariri. sasa ndio naingia sura ya pili (ukurasa wa 10) ila imeshaanza kunikumbusha ile riwaya ya darisalaam usiku na ile ya fiela's child kutoka kule sauzi!
taratibu.. cha moto...
ndo nimefika ukurasa wa 21 asante sana mwanakijiji riwayya tam sana
Hadithi njoo.... haya kazi kwenu; Hope it'll make a good Friday.. sisi wengine bado Thanksgiving ndio imeanza...
hehe vipi una mswaki wa namba nini? mimi nina kurasa 37 tu hiyo 370 ni madolali ya uhariri. sasa ndio naingia sura ya pili (ukurasa wa 10) ila imeshaanza kunikumbusha ile riwaya ya darisalaam usiku na ile ya fiela's child kutoka kule sauzi!
Hmmm...hivi vitabu vya Mwanakijiji vitanifilisi sasa. Pale duka la Scholastic Mlimani city yule mama anayeuza duka keshanijua hadi jina sasa maana kila nikienda pale nanunua Majeruhi wa Mapenzi. Sasa hiki nacho tena....daaaah!
Zamani walikuwa wanasema kuna watu walikuwa wanaogopa umande... lol
du, yule mama au yule dada anayekaa pale pembeni?
Hmmm...hivi vitabu vya Mwanakijiji vitanifilisi sasa. Pale duka la Scholastic Mlimani city yule mama anayeuza duka keshanijua hadi jina sasa maana kila nikienda pale nanunua Majeruhi wa Mapenzi. Sasa hiki nacho tena....daaaah!
Wote wawili!
mmh, wewe ni wakala wa kununua na kuuza kitabu cha majeruhi wa mapenzi au ndio mambo ya kujipitisha pitisha?