Ogah una uhakika na hicho ulichoandika? Je unajua sababu ya yeye kupelekwa Nairobi baada ya kuondolewa uMD Barclays TZ? Waulize aliofanya nao kazi, ninahakika jamaa ni kipanga wa darasani kupata first class n.k but sina hakika kama ni kipanga pia kiutendaji.
Well, umesema huna uhakika katika utendaji wake...........fuatilia/angalia trend ya graph yake........hao unaodai wanaosema kinyume na hiyo trend......sijui tuwaelewe vipi.........