GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Kama wote ni wauaji kuna tofauti gani?Bora wawe tu ni majambazi wasije wakawa wale washenzi wa Kibiti
Kama wote ni wauaji kuna tofauti gani?Bora wawe tu ni majambazi wasije wakawa wale washenzi wa Kibiti
[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Smart phone yako haina google street view?
Fungua utaona kinachoendelea
Yupo salama huku gest kwanguNgoja nimcheki mchuchu wangu Husna kama yupo salama....
Tupia picha mkuuBado zinaendelea nyingine tatu zimelia sasa hivi
Kwani we unaishi nampula ??Huko Buza ndio wapi yaani Kijiji au Mji na mkoa gani?
Duh anamzuka na miliyo ya rissi kwaiyo kashamaliza !!Lazima ulijikojolea
Tena apige na selfie matata ns mrusha risasiNikifika zitakuwa zimekwisha, mi nipo Kawe, acha uoga toka nje mara moja hapo ushuhudie na utupe mrejesho[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
AmenBinafsi nipo salama. Mengine nitayajua kutakapokucha asubuhi.
Iko tofauti jambazi target kuu no mali yako si roho yako wale wauaji wa kibiti kama lilivyo jina lau target pekee sio kuu ni kutoa roho yakoKama wote ni wauaji kuna tofauti gani?
"angala" ndio nani?
"nyinyi watu wa oysterbay" wote mnatumia ID moja? Au wewe ndio msemaji wao?
Ni wapi nilipokuuliza chochote?
Madhara ya kula sambusa usiku.
Kukaa kote dar hupajui buza!Huko Buza ndio wapi yaani Kijiji au Mji na mkoa gani?
Tulia lalachini mkuuDuuh! aisee!
Tukisema wewe ni mkimbizi hatukukoseaNgoja nimcheki mchuchu wangu Husna kama yupo salama....
Hahahahahaa[emoji23][emoji23][emoji23]Tuwekee hata mlio nasisi tusikie basi