mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,402
- 23,199
Kwamba unauliza buza ni kijiji gani na kipo mkoa gani...si utani huu kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Masihara gani unaongelea!?
Kwamba unauliza buza ni kijiji gani na kipo mkoa gani...si utani huu kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Masihara gani unaongelea!?
Braza nipo ndani. Bado sijajua.
Poleni sana je mko salama?mmefahamu tatizo?Mwenyezi Mungu awateteeWaugwana!
Nipo eneo la Sigara karibu kabisa na uwanja wa Tanesco huku buza.
Muda huu risasi zinaridima hatari. Zimeshasikika nne tayari.
1:55
Nyingine tatu sasa hivi.
2.09
Naona kumetulia sasa
3.11
Moja imepigwa sasa hivi
Jeshi la Polisi tafadhali muwe mnawahi kwenye matukio kama haya
Duuh karibu na uwanja wa tanesco?????Waugwana!
Nipo eneo la Sigara karibu kabisa na uwanja wa Tanesco huku buza.
Muda huu risasi zinaridima hatari. Zimeshasikika nne tayari.
1:55
Nyingine tatu sasa hivi.
2.09
Naona kumetulia sasa
3.11
Moja imepigwa sasa hivi
Jeshi la Polisi tafadhali muwe mnawahi kwenye matukio kama haya
Waugwana!
Nipo eneo la Sigara karibu kabisa na uwanja wa Tanesco huku buza.
Muda huu risasi zinaridima hatari. Zimeshasikika nne tayari.
1:55
Nyingine tatu sasa hivi.
2.09
Naona kumetulia sasa
3.11
Moja imepigwa sasa hivi
Jeshi la Polisi tafadhali muwe mnawahi kwenye matukio kama haya
Duuh karibu na uwanja wa tanesco?????
Kunasehem sipajui jina vizuri ilawanasema ni eneola jeshi kuna bar kwenye kamsitu kidogo , carthe deruuu.
Love for you, hahaaa sijitena huko my, kalekamsitu kanatisha kidogo.
Binafsi nipo salama. Mengine nitayajua kutakapokucha asubuhi.Poleni sana je mko salama?mmefahamu tatizo?Mwenyezi Mungu awatetee
Nikifika zitakuwa zimekwisha, mi nipo Kawe, acha uoga toka nje mara moja hapo ushuhudie na utupe mrejesho[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
MmmhHuko Buza ndio wapi yaani Kijiji au Mji na mkoa gani?
Ambao si majambazBora wawe tu ni majambazi wasije wakawa wale washenzi wa Kibiti
Habari kama hizi bila video au picha hazinogi.zinakuwa ni kama hadith tu za willy gamba. Ulitakiwa utoke nje uelekee sehemu ya tukio upate picha video ukishindwa kabisa angala tupicha tuwili tutatu. Siyo umejificha kwenye shuka halafu unatuuliza sisi watu wa oysterbay
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Panda bodaboda uje nitalipa
Yombo, Wilaya ya Temeke Mkoa wa Dar es Salaam.Huko Buza ndio wapi yaani Kijiji au Mji na mkoa gani?