Risasi zinarindima hapa Sigara-Buza

Risasi zinarindima hapa Sigara-Buza

Nipo kwenye gari natokea g/mboto naelekea Tandika napitia Buza kama hamna usalama nirudi zangu mapema mie
 
Nipo kwenye gari natokea g/mboto naelekea Tandika napitia Buza kama hamna usalama nirudi zangu mapema mie
Lakini Ustaadh, risasi si ndio zimetengenezwa kutupatia usalama hata pale ikulu wanazo. Pita tu bwana, we mtu wa Mungu usiishi kwa hofu
 
Sasa si utoke mara moja hapo ukahakikishe ni kitu gani, kwanini unaleta thread nusu nusu?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ha ha anazingua apige picha kabisa
 
Nikifika zitakuwa zimekwisha, mi nipo Kawe, acha uoga toka nje mara moja hapo ushuhudie na utupe mrejesho[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Waugwana!
Nipo eneo la Sigara karibu kabisa na uwanja wa Tanesco huku buza.
Muda huu risasi zinaridima hatari. Zimeshasikika nne tayari.

1:55

Nyingine tatu sasa hivi.

2.09
Naona kumetulia sasa

3.11

Moja imepigwa sasa hivi

Jeshi la Polisi tafadhali muwe mnawahi kwenye matukio kama haya

Haya kumekucha tunaomba mrejesho wa kazi tuliyokutuma tupe picha ya tukio na maelezo
 
Sasa si utoke mara moja hapo ukahakikishe ni kitu gani, kwanini unaleta thread nusu nusu?[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahahahah
 
Jamani mpaka sasa hivi haijajulikana ilikuwa nini, hebu fuatilia aisee. Maana kuna mtu alisema inaweza ikawa ndoto hii
 
Back
Top Bottom