Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
fack lkn mtu kuitwa hivyo tu ndo apanic vileM7 alikosana na PK pale alipoalikwa Kigali wkt anaongea akamuita PK na RPA yake(MY BOYS) kitu ambacho PK anaona ni ma- dharau wkt anajua ni wanyalu wangapi walikufa ili yeye na NRM yake waingie madarakani na bado anajiona yeye PK kwny battle hardened skills yuko njema kuliko M7.
Hivi PK na Rwigema walikua wameenda Mozambique wkt wa harakati zao za mwanzo kufanya nini?Kagame ni Bingwa wa Ambush. Alikua makamanda wenziwe wakienda vitani anaandaa red Barrett wanawapiga ambush na kuwaua afu anatangaza wameuwawa na Jeshi LA serikali wakubwa wote aliwafyeka kwa sitaili hiyo na kubaki yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa hao makamanda si walimuuwa fred ili kuitokomeza mbinu yake sasa why slim aitumie alafu wamuacheKwa hio ulitaka PK na yeye auwawe iki akuthibitishie kwamba Rwigema alikufa kihalali,hahah aisee.
Kweli kama unavyosemaga ulijiunga JF kubishana.
Wanaujua ukweli ila ni vile hapa ni kijiweni tunapiga soga tu kupoteza poteza muda kiaina.Habyarimana alisaidiwa Sana na Zaire ya Mobutu na Ufaransa hivyo RPA kushinda vita 1990 isingewezekana na hili jambo hawa wadau hawataki kukiri hili.
RPG kumi?Hio BUK-23A wewe ndiye uliyeianzisha kuileta hapa JF na kabla yako hakuna sehemu iliwahi kutajwa hapa jukwani, hakuna thread uliacha kuitaja,kuna siku ukabanwa ulete source ya info hio silaha ukasema eti umesikia kijiweni,au umesahau ulisema hivyo?
Au ulishasahu ulisema Burundi kwa hapa East Africa ndio inaongoza kwa kua na RPG nyingi kuliko nchi zote eti ina RPG 10,hahah what a Joke?Wkt hizo RPG full hazicost zaidi ya $2900/RPG,hahah kua serious sometimes.
Jamaa alishindwa kufanya nini?
Nimesema ndege ya kijeshi boss,sijasema drone.
PK ni mtaalamu wa 'military tactics ' hata Gen. Romero Dallaire aliyekuwa mkuu wa vikosi vya walinda amani Rwanda alikiri hilo.PK alivyofika alianza kujipanga upya,kuweka logistic sawa,kurudisha morali ya wanajeshi na vitu kama hivyo.
Ukinitajia eneo aliloliteka Rwigema hapa ntakubaliana na wewe,la sivyo ni story ya kutunga kama kawa.
MY BOYS?Sio kwa PK.
Sawa.sasa hao makamanda si walimuuwa fred ili kuitokomeza mbinu yake sasa why slim aitumie alafu wamuache
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyosema 'kuitokomeza' una maana gani?sasa hao makamanda si walimuuwa fred ili kuitokomeza mbinu yake sasa why slim aitumie alafu wamuache
Sent using Jamii Forums mobile app
si walimuuwa fred kisa hiyo mbinu yake isitumikeUnavyosema 'kuitokomeza' una maana gani?
Kwa mtu kama M7 ambaye licha ya kuwa Raisi wa Uganda pia ni mjumbe wa heshima wa RPF kutumia kauli hiyo haikua sawa.MY BOYS?Sio kwa PK.
Kwani Burundi ndege yake ilivyoingia Tz ilianza kupiga picha maeneo ya jeshi?Rwanda wamefanya hivyo kwa Burundi.RPG kumi?
nilisema ana aina kumi za ant tank rpg iliingia baada ya mdau mmoja kuniuliza ant tank zikoje
niyombare alishindwa kukamilisha mapinduzi
hyo ndege ya kijeshi ni jet fighter au chopa?
alafu swala la ndege za kijeshi kuingia nchi nyingine ni kawaida saana ata mwaka juzi dege la jeshi la burundi lilizua kizaazaa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu,kwenye kitabu cha SHAKE HANDS WITH THE DEVIL nimeona akimkubali PK balaa.PK ni mtaalamu wa 'military tactics ' hata Gen. Romero Dallaire aliyekuwa mkuu wa vikosi vya walinda amani Rwanda alikiri hilo.
M7 hua vi-dharau flani hivi saa nyingine, mara nyingine hua anawaita wananchi wa Uganda wajukuu zakeKwa mtu kama M7 ambaye licha ya kuwa Raisi wa Uganda pia ni mjumbe wa heshima wa RPF kutumia kauli hiyo haikua sawa.
Ndio maana tulivyoambiwa humu eti 'hajawahi kuongoza mapambano na hana uwezo huu' nimeshangaa hawa watu wametumia vigezo gani kuhitimisha hivyo.Kweli mkuu,kwenye kitabu cha SHAKE HANDS WITH THE DEVIL nimeona akimkubali PK balaa.
Hahah ndio maana sometimes JF panakuaga ni sehemu ya kupiga story tu na kupoteza muda.Ndio maana tulivyoambiwa humu eti 'hajawahi kuongoza mapambano na hana uwezo huu' nimeshangaa hawa watu wametumia vigezo gani kuhitimisha hivyo.
hyo ndege ya burundi haikupiga picha lkn ilipita juu ya kambi ya two fourKwani Burundi ndege yake ilivyoingia Tz ilianza kupiga picha maeneo ya jeshi?Rwanda wamefanya hivyo kwa Burundi.
Niyombare alishindwa mapinduzi si baada ya Jw kuingilia au hapo unamaanisha nini?
Blaza ulisema Burundi wana RPG 10 nchi nzima nikaku-quote na nikakupa costs zake hizo RPG ukalala mbere.Sasa kama hata kama aina 10 za ant-tanks na yeye ndie nchi maskini kabisaa E/Africa unadhani nchi gani hapa E/Africa itashindwa ku-afford hizo ant tanks?
Ya Rwanda imepiga picha maeneo ya jeshi la Burundi.hyo ndege ya burundi haikupiga picha lkn ilipita juu ya kambi ya two four
jw ilimfikisha tu nkuru burundi sio kwamba walizuia waliozima mapinduzi ni wanajeshi watiifu wa nkuru
hakuna nchi inayoshindwa lkn sioni tofauti kubwa za hizi nchi mbili wote wapo hoi tu japo chiga wanakaunafuu
Sent using Jamii Forums mobile app
rwanda ana unafuu kuliko burundi lkn hicho sio kigezo cha kufanya rwanda aonekane atampiga burundiYa Rwanda imepiga picha maeneo ya jeshi la Burundi.
Hayo mapinduzi ya Burundi achana nayo,ila jua hakuna jeshi pale Burundi ila kuna kundi la wahuni tu.
Nakupa mfano rahisi FDI Ya Burundi last year ni $300,000 only na ukuaji wake wa uchumi kwa mwaka ni 0.0% wkt Rwanda FDI yake last year ni almost 400mil na uchumi unakua kwa 7.2%,nipe data zako kuonyesha wote wapo hoi.