Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,480
- 78,729
Felix kufanya kazi na Kabila halina ubishi
Na inawezekana Kabila akadrop kuwa PM
Khs very vikundi kuibuka sidhani ila km vitaibuka ni huko jimbo la Tanganyika, Manono huko ndiko asili ya Mai Mai
Tuache Congo ifanye mambo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Na inawezekana Kabila akadrop kuwa PM
Ile ilikua ni janja janja ya chairman PKMmmh. Ila nahisi Tchisekedi atakuwa Rais Poa kwa vile hana compromise nyingi na ma power mongers.
Naitakia Kongo amani ikuze uchumi ijenge vyombo bora vya usalama.
Imalize rebel Kivu. Naamini Kongo ikitulia na Kuwa na Nguvu.
Ukanda wote utatulia. Tchsekedi afanye kazi na Kabila. Urais ni taasisi asiufanye personal ila yeye ndo awe mwamuzi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Khs very vikundi kuibuka sidhani ila km vitaibuka ni huko jimbo la Tanganyika, Manono huko ndiko asili ya Mai Mai
Tuache Congo ifanye mambo yake
Though pia mkuu siamini amini hivi kama AU+SADC walikua wako real khs matokeo ya uchaguzi kusitishwa kutangazwa au ilikua ni janja ya kujisafisha mbele ya jumuiya za kimataifa.
Mimi naona stabilisation ya Congo ni mpk Mabeberu wakiona sasa inatosha.
Usishangae vikaanzishwa tenq vikundi vya waasi vya kijinga jinga kupingana na rais mpya ili mradi tu vurugu ziwepo though serikali ya mseto ingeweza kusaidia kiaina kwny situation hii.
Sent using Jamii Forums mobile app