Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
dah jamaa umezidi kwa ubishi umeambiwa vzr tu slim alijiunga na wavamizi wenzia akiwa meja jeneral tayari tena alikuta baadhi ya maeneo yameshadhibitiwa na fredWapo ila sio Kagame.
Hayo maneno ya huyo mwasi Nyamwasa ni propaganda tupu.
kiulisia meja jeneral huwa haingii front line mapambano mara nyingi huwa yanaongozwa na brigedia
slim alikuwa ni mkuu wa ujasusi tu waingoza battle walikuwa ni kina kayumba na wengine kama kabarebe
ukija kubisha uje na battle alizoongoza mabeyo mpaka akaukwaa u cdf
Sent using Jamii Forums mobile app