Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
Bora umekuja kunisaidia kwa fact aise nilikuwa nimeshaanza kuishiwa pumziMkuu.
Kagame hakuwa kwenye chain of Command ya RPA .
Swali ilikuaje a-take over awe Mkuu wa Jeshi. Lete story yake.
Gusia kwanini Senior kamanda wate wa RPA waliuwawa in battle akabaki Kagame tu.
RPA ilikuwa na uwezo wa kushinda hata 1990. Ilicheleweshwa hadi 1994 ili senior officers wafyekwe abaki yeye tu.
Ili akichukua nchi asiwepo wa kumkosea.
Mfano Akina Kamanda Waswa.
Jiulize kwann wapiganaji wa wa RPA humrejea Fred kama Kamanda Fred na Kagame Afande Kagame. Unaweza kuwa Afande usiwe Kamanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app