Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,675
- 22,265
Mila na desturi za kiafrika lazima zizingatiwe, baba hadanganyi.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi
Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa vipimo, uhakiki wa ubora wa majibu na udhaifu katika uhifadhi wa vipimo vya COVID-19
Amesema "Mojawapo ya Mashine za kupima sampuli za Covid-19 ilikua na hitilafu bila Uongozi wa Maabara kuchukua hatua za kuifanyia matengenezo kwa wakati"
Amesema "Upimaji wa Sampuli zote za Covid-19 umehamishiwa katika maabara Mpya iliyokamilika kujengwa katika eneo la Mabibo Dar es Salaam ambayo kwa sasa ndiyo itakuwa maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii"
"Maabara hii mpya ina uwezo wa kupima sampuli 1,800 za Ugonjwa wa Covid -19 ndani ya masaa 24 tofauti na ile ya awali ilokua na uwezo wa kupima sampuli 300 tu"
Aidha, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea maabara mpya ya Taifa Mabibo, DSM na kuzungumza na madereva wa malori na kuwahakikishia kupata majibu ya Covid-19 ndani ya masaa 24
Ninazinunua kutengeneza sidiria za wasichana.Ukiona barakoa ujue bado ipo bwashee!
Taifa la wajinga hili. Tulichagua ujinga. Nilisema humu huyu mama ni mnafiki hata shetanj anamuogopa. Akikutana na Magufuli hafai barakoa akiwa maeneo mengine anavaa.
Ahsante, hapo umenena....vipimo vionyeshe Negative tu???? Kama Magufuli anavyotaka.😂😂 Kwahiyo vipimo vilivyopatikana katika zile sampuli za mafenesi, mbuzi na papai sio za kweli?? Kumbe inawezekana hata waliopona hawajapona??
Lumumbaaaa!!!
Pata kinywaji, bili kwangu.Taifa la wajinga hili. Tulichagua ujinga. Nilisema humu huyu mama ni mnafiki hata shetanj anamuogopa. Akikutana na Magufuli hafai barakoa akiwa maeneo mengine anavaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio mwisho hapo eti!Report inasemaje?
kwa Tanzania covid-19 ime target madereva wa malori auhapana imejengwa kuchukua vipimo vya covid 19.
soma paragraf ya mwisho wa hii thread inasema hivi,nanukuu:
"Aidha waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea maabara mpya ya Taifa Mabibo,DSM na kuzungumza na madereva wa maroli na kuwa hakikishia kupata majibu ya Covid 19 ndani ya masaa 24"
mwisho wa kunukuu.
sjui umeelewa bwashee ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Buildings, machines, multitudes of people singing praises are all good; but the critical issue is showing people that our interventions are working. We need evidence of results, not ngojera. This we have seen, now folks: deliver results! That is the role of government to its people.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa ripoti ya Uchunguzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na kueleza mambo kadhaa yaliyogunduliwa na Kamati teule ya Uchunguzi
Amebainisha kuwa Kamati imegundua uwepo wa Mapungufu katika mfumo wa kimuundo, kiutendaji na uendeshaji wa kitaaluma katika upimaji wa vipimo, uhakiki wa ubora wa majibu na udhaifu katika uhifadhi wa vipimo vya COVID-19
Amesema "Mojawapo ya Mashine za kupima sampuli za Covid-19 ilikua na hitilafu bila Uongozi wa Maabara kuchukua hatua za kuifanyia matengenezo kwa wakati"
Amesema "Upimaji wa Sampuli zote za Covid-19 umehamishiwa katika maabara Mpya iliyokamilika kujengwa katika eneo la Mabibo Dar es Salaam ambayo kwa sasa ndiyo itakuwa maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii"
"Maabara hii mpya ina uwezo wa kupima sampuli 1,800 za Ugonjwa wa Covid -19 ndani ya masaa 24 tofauti na ile ya awali ilokua na uwezo wa kupima sampuli 300 tu"
Aidha, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametembelea maabara mpya ya Taifa Mabibo, DSM na kuzungumza na madereva wa malori na kuwahakikishia kupata majibu ya Covid-19 ndani ya masaa 24
wewe pamabana unavyojua mwisho wa siku ufike unapopatakakwa Tanzania covid-19 ime target madereva wa malori au
Bila shaka wangejenga Chato kama unavyotaka wewe
sio kweli acha kupiga ramliBila shaka wangejenga Chato kama unavyotaka wewe
Tanzania hatuna Covid 19 ,usiwatie watu hofu!Ukipimwa ukakutwa nayo unataka tuanze nawa na kuvaa barakoa tena?ebu utulie ufanye yako bwana!Wakuu habari.
Please wanaojua sehemu wanapima hii kitu inaitwa COVID19 hapa TZ. Nalazimika kupima kutokana na mitikasi yangu ya maisha.
Natanguliza shukrani.
We jamaa unamatatizo gani?. Hujawahi kusoma essay hata primary?. Hapo nimesema kutokana na shughuli zangu na michakato ninalazimika kuwa na covid certificate. So nalazimika kupima?. Sasa niachane ili iwaje? Kama hujui kaa kimya.Tanzania hatuna Covid 19 ,usiwatie watu hofu!Ukipimwa ukakutwa nayo unataka tuanze nawa na kuvaa barakoa tena?ebu utulie ufanye yako bwana!
Nenda Amana hospital wanapimaWe jamaa unamatatizo gani?. Hujawahi kusoma essay hata primary?. Hapo nimesema kutokana na shughuli zangu na michakato ninalazimika kuwa na covid certificate. So nalazimika kupima?. Sasa niachane ili iwaje? Kama hujui kaa kimya.
Ipo ila haidhuru.Kwani covid bongo bado ipo?