Ripoti ya tume ya maadili ya Philip Mangula iko wapi?

Ripoti ya tume ya maadili ya Philip Mangula iko wapi?

Niliwahi kukutana na ndugu Mangula kule Njombe; alikuwa na afya nzuri kuliko alivyokuwa katibu mkuu wa CCM.

Alipokuwa Katibu Mkuu nadhani alikuwa anafanya kazi sana na ndio maana hakuwa na hali nzuri kama aliyonayo sasa. Hivi sasa anajishuhulisha na kilimo kijijini kwake Kinenulo na ana mashmba makubwa ya viazi ulaya na mahindi; matrela yanatoka Kenya kuja kununua bidhaa toka shambani kwake.

Huyu bwana ni kielelezo cha visasi na unafiki wa Kikwete kwa watu ambao hawakumuunga mkono au walimpinga wakati wa kuusaka Urais!! uwezo wake wa kuongoza na kujenga hoja ni mkubwa kwani amani tunayoiona visiwani sasa ni matunda ya kazi yake wakishirikiana na maalim Seif.
 
Alikuwapo Philipo Mangula katika siasa ya Tanzania Chama cha Mapinduzi
Mtu huyu yuko wapi na anafanya nini sasa Kutoka Ukatibu Mkuu wa CCM mpaka jina kufifia namna hii

Kwenye CCM kuna mambo ya ajabu, huyu jamaa sidhani hata kama wanamshirikisha kwenye maamuzi ya chama kama mshauri. jamaa wamempoteza kabisa.
 
Kwenye CCM kuna mambo ya ajabu, huyu jamaa sidhani hata kama wanamshirikisha kwenye maamuzi ya chama kama mshauri. jamaa wamempoteza kabisa.

Nimemwona siku wiki moja iliyopita pale Luther House mida ya lunch, alikuwa na jamaa mmoja wanafanana kwa mbali, jamaa anaonekana katulia kiasi.
Hope he wont be back unless kuna backup ya kutosha.
 
Niliwahi kukutana na ndugu Mangula kule Njombe; alikuwa na afya nzuri kuliko alivyokuwa katibu mkuu wa CCM.

Alipokuwa Katibu Mkuu nadhani alikuwa anafanya kazi sana na ndio maana hakuwa na hali nzuri kama aliyonayo sasa. Hivi sasa anajishuhulisha na kilimo kijijini kwake Kinenulo na ana mashmba makubwa ya viazi ulaya na mahindi; matrela yanatoka Kenya kuja kununua bidhaa toka shambani kwake.

Huyu bwana ni kielelezo cha visasi na unafiki wa Kikwete kwa watu ambao hawakumuunga mkono au walimpinga wakati wa kuusaka Urais!! uwezo wake wa kuongoza na kujenga hoja ni mkubwa kwani amani tunayoiona visiwani sasa ni matunda ya kazi yake wakishirikiana na maalim Seif.

thanks angalau sasa nina idea
 
Analima Nyanya kwao Iringa Wanging'ombe Njombe na pia anataabika kwa sababu ya uchaguzi wa mwaka 2005
 
huyu mzee ''hakuwa mwana-mtandao''
ai miin hakuwa kwenye kambi ya muungwana,ndio chanzo cha matatizo
 
Geoff ngoja nifikirie chama mbadala hizi habari za hiki chama kila siku zinanikera ,..vip wewe ni mhasisi wa chama ?
he he he nategemea kuwa mgombea huru wa urais wa tz. dondosha kura yako kwangu.

beki to ze topik: i hev noo aidia jamaa kapotelea wapi.Acha nimbipu shehe yahaya atupe aptudeti za jamaa.
 
FL unataka kuanzisha Chama cha Siasa? Huyu mzee katika wanasiasa hodari wa kizazi chake yeye ni nambari ONE! Anao upeo mkubwa sana wa mambo ya siasa na anapenda kusimamia ukweli na haki.
 
Nimemwona siku wiki moja iliyopita pale Luther House mida ya lunch, alikuwa na jamaa mmoja wanafanana kwa mbali, jamaa anaonekana katulia kiasi.
Hope he wont be back unless kuna backup ya kutosha.

bora sasa aridhike na maisha aliyo nayo tu .. aachane na siasa za Bongo
 
Huyu mzee yupo Obay mtaa wa pili baada ya Mkadini (Off Ghuba)
Nilisikia mkewe alifariki ila sina uhakaki na hili
Cha kujiuliza alipataje nyumba ya serikali wakati yeye hakuwa mtumishi wa ngazi ya juu serikalini? Bongoland kila kitu kinawezekana
 
kwani unamtafuta wanin?

nimemkumbuka Geoff na si vyovyo ..

kama nilivyosema jana nililkuwa najaribu kupitia pitia siasa za Chama hiki ndio nikamkumbuka ila sikujua amepotelea wapi
Kama ujuavyo JF hakuna linaloshindikana sasa nimezipata info zake
 
nimemkumbuka Geoff na si vyovyo ..

kama nilivyosema jana nililkuwa najaribu kupitia pitia siasa za Chama hiki ndio nikamkumbuka ila sikujua amepotelea wapi
Kama ujuavyo JF hakuna linaloshindikana sasa nimezipata info zake
isije ikawa unazitaka info zake umeagizwa na mganga wako...!😀
 
isije ikawa unazitaka info zake umeagizwa na mganga wako...!😀
halafu nashangaa kweli ujue,
huyu mpwazzzz leo vipi kaibukia huku??
anataka kugombea ubunge nini??, maana 2010 ndio hiyo.
 
FL unataka kuanzisha Chama cha Siasa? Huyu mzee katika wanasiasa hodari wa kizazi chake yeye ni nambari ONE! Anao upeo mkubwa sana wa mambo ya siasa na anapenda kusimamia ukweli na haki.

sina mpango huo nitakufa mapema Baba_Enock
 
Tafadhali festiledi ''usinipotezee'' homuboi wangu!
 
hahahahahah hehehehe jamani nyie wewe geoff mie namtakia nini jamani ..mpaka nimwendee kwa kalumanzira
TUNAELEKEA UCHAGUZI2010!na kama unavyosema UPO KIKAZI ZAIDI!mh
huenda umeambiwa upeleke ubongo wake ili uikamate ROMBO
 
TUNAELEKEA UCHAGUZI2010!na kama unavyosema UPO KIKAZI ZAIDI!mh
huenda umeambiwa upeleke ubongo wake ili uikamate ROMBO

Binamu wewe naona unafanya weekend yangu iwe full shangwe nimecheeeka hapa sina hamu
 
Back
Top Bottom