kweli jamaa yuko oysterbay anakaa kwenye nyumba yake yuko poa sana watu kama wale kufulia ujue wewe ni nusu kichaa opportunities kibao,anasali KKKT usharika wa Msasani,Dingi yuko poa sana na ujane wake.
analima lumbesa ya fiasi fya matosani be ili mpatage chips
ukisema "cha nini?" mwanzako anajiuliza "nitakipata lini?"ni mshauri wa mambo ya siasa wa jokob zuma. Mara nyingi huwa huyupo bongo, yupo south africa kwa muda mrefu. Nafikiri hiyo assignment unayoisema whisper ni kubwa, probably yupo kwenye nafasi kama ya akina kingunge kwa huku bongo.
ukisema "cha nini?" mwanzako anajiuliza "nitakipata lini?"
Huyu bwana amekumbana na moto kwa sababu alitaka kumzuia muungwana asiwe Rais. Alijitahidi kucheza lakini hakuweza kuuzuia mtandao. Lakini hebu tuwe wakweli, nani yupo tayari kufanya kazi na mtu wasiyeaminiana???
nimemkumbuka Geoff na si vyovyo ..
kama nilivyosema jana nililkuwa najaribu kupitia pitia siasa za Chama hiki ndio nikamkumbuka ila sikujua amepotelea wapi
Kama ujuavyo JF hakuna linaloshindikana sasa nimezipata info zake
Huyu bwana amekumbana na moto kwa sababu alitaka kumzuia muungwana asiwe Rais. Alijitahidi kucheza lakini hakuweza kuuzuia mtandao. Lakini hebu tuwe wakweli, nani yupo tayari kufanya kazi na mtu wasiyeaminiana???
Au kwasababu umesikia ni mjane? ha ha ha haaaaaaa