Kwenye hili mzee wa watu alikuwa very objective kiukweli wala haikuwa personal kihivyo. I have come to learn kwamba huyu mzee anamjua huyo mnayemwita muungwana (kwangu mimi c muungwana otherwise asingpiga risasi na kuua wapiga kura wake juzi arusha) kuliko wengi wetu. Watanzania wengi ni mashahidi namna kazi inavyomlemea mkwere, yaani ni kama vile kibajaji kukibebesha mzigo wa tani 30. Kibaya kuliko vyote ni kwamba by then Mzee MAngula hakueleweka na wengi, tulimwona mtu mbaya anayetaka kutupotezea handsome boy wetu, mtu wa watu kipenzi cha watu, you name it. Anyway ndio hivyo tena imekula kwetu hiyo.