wana JF...
..ripoti ya tume ya Philip Mangula aliyefanya uchunguzi kuhusu kukiukwa kwa maadili ya chama wakati wa CCM presidential primaries imepotelea wapi?
..nadhani wakati umefika ripoti hiyo ipatikane kwani inaweza sana kutusaidia kuelewa yanayoendelea sasa hivi Tanzania.
..mwenye uelewa wa kilichomo kwenye ripoti hiyo naomba atuhabirishe.
..ripoti ya tume ya Philip Mangula aliyefanya uchunguzi kuhusu kukiukwa kwa maadili ya chama wakati wa CCM presidential primaries imepotelea wapi?
..nadhani wakati umefika ripoti hiyo ipatikane kwani inaweza sana kutusaidia kuelewa yanayoendelea sasa hivi Tanzania.
..mwenye uelewa wa kilichomo kwenye ripoti hiyo naomba atuhabirishe.