:third:Wamesoma JF, kwenye yale maswali ya wanajamvi lipo swali lilohoji kuwa wamejuaje kuwa aliuwawa na majambazi.
Sometime wanakuwaga na akili za induction.
Wakiripoti mazishi ya kamanda Barlow wamesema kuwa alipigwa risasi na watu wasiofahamika (instead of majambazi kama polisi walivyotuambia mwanzo).
Nimependa utoaji habari wa aina hii, angalau ndivyo inavyotakiwa iwe.
VIA; Usiku wa Habari
hakuna jema TBC1 ishakufa kitambo mioyoni mwa wengi
imebaki kuwa tv ya propaganda za magamba
ni sawa na kutoa habari za mtu aliekufa zamani
TV ya Taifa ni ITV na star tv inafuatia.
Yaani kwa taarifa ya habari moja tu unasema unaipongeza TBC1!!!! Pole.
Duh nimefungua fasta kweli nikajua nakuta kitu cha maana kumbe zero? Jiulize kwanini Kova, Meki Sadiki na yule Shehe kast week hawakwenda kutangazia TBC badala yake ITV?
Mpwa mimi zero?
Tangu lini Kova na wenzake wamekuwa kipimo cha ubora, au kwa kuwa wamekwenda munapopataka nyie?