Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,242
- 113,617
IMMA inasimama badala ya nini?
IMMA inasimama badala ya nini?
IMMA ni:
-Ishengoma (Sasa hivi ni judge wa mahakama kuu-mteule wa JK)
-Magai
-MAsha
Hivyo Magai ni mmoja wa founders wa IMMA
****in ridhiwani.. he is a crook
ni vizuri kwanza ungedhibitisha kama kweli katoa notice, lakini pia sioni kama kuna tija kwetu sisi wana JFWadau kuna taarifa kwamba Ridhwani ametoa Notice ya kuacha kazi IMMA advacates baada ya kusemewa mbovu na Magai, je taarifa hizi ni za kweli? mwenye kujua zaidi atujuze tafadhali
IMMA inasimama badala ya nini?
IMMA ni:
-Ishengoma (Sasa hivi ni judge wa mahakama kuu-mteule wa JK)
-Magai
-MAsha
Hivyo Magai ni mmoja wa founders wa IMMA
Magai ni yule jamaa anayefanya maigizo kwenye TV
Naona alikuwa anaiboa management ya IMMA,kwa kuwa muda mwingi alikuwa anajihusisha na masuala ya kampeni za baba yake!na kusahau kuwa yeye ni mfanyakazi kama wafanyakazi wengine,na anapaswa kutii na kuheshimu sheria za kazi!