Ridhiwani yupo huku sasa!

Ridhiwani yupo huku sasa!

Ingekuwa wewe mtoto wa Rais ungeacha kujishughulisha? Me naona bora ajishughulishe kuliko kukaa kumtegemea baba yake kwani Ridhiwani ana familia inayomtegemea. Ni bora ajishughulishe kuliko kusikia nayeye kapewa mihela ya epa... Katika hili mimi namuunga mkono ajishughulishe asibweteke na cheo cha baba ake kwani 2015 mzee anaondoka ikulu.
 
Kaazi kweli kweli. Ila naamini wengi wetu hatujabahatika kupata chansi ya ku.......
 
Mkuu hizo ni sifa za mda tu, na hutazisikia tena mara baada ya uchaguzi mkuu unao tarajiwa kufanyika 2015. Ritz-moko nimesoma nae namwelewa vizuri sana ni kilaza kama .................... yake.
Mkuu unaogopa nini kusema Riz Moko ni kilaza kama baba yake kwani siri?
 
hana lolote mbwa koko huyu. Ukitaka kujua mwambie aandae mkataba wa kisheria peke yake uone madudu utakayoyaona. Mi huwa namfuatilia sana kwenye tweets zake kiingereza kibovu sana.
 
Jamani tuache wivu, kama upo kwenye kundi la kukosa jitahidi uingie kwenye kundi la kupata kwani nafasi bado unayo na si kupiga madongo tu. Jamaa ni msomi tena wa UDSM, hakuna ujanja ujanja ndani ya UDSM, ukubali au ukatae.
 
Na msisahau ya KENYA,huyu ni mgombea uraisi wakati ukifika.subirini muone!!!!
 
And me want ask a question of the same and you but you early me do before. Court of which a case win he Riziwani? no where i heared of winning just stand to defend a thieves of chicken.....a advocate? of where?
shule 2likua 2naambiwa ukitaka kujua ki2 sharti upractie na usione aibu, hapa kazi ipo kip it up!!
 
Mkuu unaogopa nini kusema Riz Moko ni kilaza kama baba yake kwani siri?

Mh jaman muwe mnamuogopa hata mungu kidogo mnavyoconclude kuwa ridhwan kilaza huku anaonekana anazidi kusonga mbele mnamaanisha nn? ukilaza wake mnaulinganisha na nan kwan lazima kuwe na base? hata ww ukiwekwa na watu wengine utakua kilaza, unaposema kilaza useme kwa kidegree gan? au ni slow learner ndo maana anaitwa kilaza? isitoshe hapo anadiscusiwa ridhwan kama mtoto je kikwete kama baba anaingiaje hapo kama c majungu na wivu! ? 2jaribu kuanalyse mambo kwa kina na kutoa views za maana na sio kua bias hapo 2tajenga na kuonekana wa maana humu azawaizi ss sote vilaza
 
mkuu tuanze kwenye tuhuma ya kwanza, tunaomba ushahidi,
ni wapi au lini watanzania waliwalaumu watoto wa mwalimu???
Mkuu siandiki kwa kujifurahisha, hili lilishaongelewa sana hapa JF miaka minne hivi iliyopita, moja ya mtiririko wa michango ya wana JF ni hii hapa chini.
Kwa ujumla sioni hii interview inatoa kitu gani kipya. Kuhusu watoto wa Mwalimu kutotaka madaraka, kwa upande wangu sioni kuwa hiyo ni hoja ya wao kuwa humble.

Hiyo hoja inadhihirisha fikra zangu sahihi kuwa Ujamaa sucks. Mwalimu alifanya majaribio ya Ujamaa kwa familia yake na matokeo yake ni kuwa
familia yake sio competitive.

Labda wajukuu zake watakuja kuchakalika.

Zakumi,

Hapa kuna a classic dilemma kwenye familia ya Nyerere.

Upande mmoja mnawaona hawako competitive -kwa lugha rahisi wamezubaa-

Upande mwingine wangechangamka na ku push ma BMW kama mtoto wa muungwana watu wangewaita mafisadi.

What's a president's son to do? Mie ndiyo maana nimekataa kumuita mtoto wa muungwana fisadi just because ana push BMW.

Hiyo ku-push BMW ni yako. Pamoja na mimi kupinga siasa za zake nakubali kuwa Mwalimu alikuwa formidable intellectual force.

Hivyo ni lazima nyumbani kwake kulikuwa na vitabu au mwamko fulani, lakini hicho kitu sikioni.

Hapana hii ya BMW si yangu, imewekwa hapa na wadau.

Nyerere kawarithisha watoto wake udumavu wa ujamaa, na "ugumu" na kufikiri umasikini -kukosa nauli ya daladala na kutembea kwa mguu- ni kitu cha kujivunia.

Ukiwasikiliza vizuri utaona baadhi wakiwa katika form wanaweza kuwa idealist wazuri, lakini kama utopia ya baba yao ilivyoshindwa hamna hata mmoja ambaye ameweza kuanzisha ki foundation au kitu concrete, wameishiwa kuwa watawa -urithi wa dini- au wakulima/wanavijiji tu.

Kweli huwezi kuwalaumu kwa ufisadi, lakini at the same time huwezi kuwasifu kwa industriousness.

Usiwahukumu wote. Madaraka hivi sasa ndiye anayesimamia miradi ya familia Butiama. Makongoro anahenya na ujasiriamali. Give him time, nimeongea naye
karibuni nilipokuwa home, he has good ideas, akifanikiwa atafanikiwa kwelikweli.

Kashachelewa sasa hivi, fainali uzeeni inagonga hodi tayari.Miradi ya familia miradi gani, ya kufuga ng'ombe?

Familia kama ile ilitakiwa kufanya kitu substantive Tanzania, mimi sioni kama wanaweza kufanya kitu cha level ya nguvu kwa sababu Mzee wao hajawatayarisha kuwa enterpreneurs.In fact hajawatayarisha kuwa chochote.

On the one hand unaweza kumsifu, kwamba hakuwa na pupa za kibiashara wala tamaa za kuweka familia mbele.

On the other hand unaweza kumlaumu kwamba hakuonyesha mfano mzuri wa kuukimbia umasikini katika familia yake kama rais.

Familia ya Nyerere ni nani kabaki? Madaraka ndie spokesman sasa hivi ambae nae amesha anza kupoteza gololi.

Madaraka anasema Baba yake ni mpenda amani ambaye angekuwepo angeshamsamehe Amini. Baba yake si mtu wa kusamehe maadui, hakwenda hata kwenye msiba wa Kambona, mpaka Makongoro akaona aibu akaenda.

Madaraka anatoa misahama kwa waanzilishi wa vita vya Kagera eti kwa vile ni mambo yalitokea zamani. Anadhani vile ni vita kati ya baba yake na Amin. Watu wamekufa kwa ajili ya kutetea nchi, na kwa kuheshimu siasa na matakwa ya Amiri Jeshi Mkuu. Havikuwa visa vya wanaume wawili kugombea kimada vile.

Lakini sitegemei Madaraka awe amerithi na kujifunza mengi kutoka kwa baba. Ameiambia BBC kwamba Nyerere alikuwa anawafunga midomo kujadili maswala ya kazi yake na siasa wakiwa kwenye meza ya chakula. Madingi wetu wa Kibongo tena, mambo ya kazi ni mambo ya kikubwa. Watoto hakuna kuuliza uliza mambo ya kikubwa.

Makongoro nae alishaanza kupoteza gololi kwenye pombe, akarudi CCM. John anaumwa, kafungiwa ndani maisha yake yote. Magige mwanakijiji Butiama ambako hata radio signals hazifiki, hayuko in touch na nini kinaendelea duniani. Rosemary na Mama Maria wanawasikiliza Madaraka na Makongoro, mfumo dume.

Anaefuatia, ambae bado hajapoteza goroli pale, ni Butiku. Lakini Butiku nae hawezi kujifanya kama ni mtoto wa Nyerere, inabidi aende ende na kina Makongoro wanavyotaka, japo siku zote kina Makongoro walikuwa hela yao ya kula anaishika Butiku, Kambarage hakuwa na muda na watoto. Sasa kwa Butiku, Makongoro hawezi kuwa mtu huru, alishahongwa hongwa fadhilia na Mkapa, mlezi wa familia. Mkapa ana bifu la damu na Butiku, maana Nyerere alipokufa Mkapa akawaweka pembeni watu wa Nyerere, Butiku hakupenda, akaona huyu afisa wa mambo ya nje asiye na jina tumempandisha kwenye magari ya wazi kumuuza Tanzania nzima leo hanisikilizi? Akamwita Mkapa fisadi hadharani. Kumbe Mkapa aliwahi kumnunua mmoja wa familia akijua atamhitaji mbeleni. Mgawanyiko. Makongoro na Mkapa na Butiku na Madaraka. Mkorogo wa uongozi pale Butiama.

Afu na wewe mshikaji wake sijuhi unampa ushauri gani. Jina la baba yao kama trade mark ya Coca-cola. Yaani sijuhi wanashindwa nini kutumia hile brandy.

acha kumtetea ni fisadi, anafanya kazi IMMA na cheo chake ni legal officer amepata wapi hela ya kunua hiyo BMW.
usione watu hawana akili humu ndani, you dont have to be a rocket scientiest .......

Mnataka atembelee nini ??? bajaji ???. Misafara anayofanya rais na marupurupu anayopata yanatosha kwa familia ya rais kuwa na BMWs.

Swali lije kwenye performance. Je rais kutokana na marupurupu anayopata anafanyakazi tunayotaka ???

You are missing the point.

Hii habari ya "amepata wapi hela ya kununua BMW" ndiyo kusaka wakomunisti alikokufanya Eugene McCarthy.

Principles za deal ni kwamba watu wengi tukijua deal thamani ya deal inapungua, kwa hiyo kumsema mtu "amepata wapi hela wakati mshahara wake tunaujua" ni kusema kwamba huyu bwana anategemea mshahara tu, unajuaje kama babu yake aliokota sarafu za Mjerumani Bagamoyo?

Point ninayoisema hapa ni kwamba, ukitaka kukmuita mtu fisadi muite, lakinio njoo na data, jamaa anafanya IMMA IMMA mafisadi hivi na vile, yeye alivyopatiwa kazi kifisadi hivi, kuna mfanyabiashara fulani fisadi ndiye kamnunulia lile BMW, hapo tutaelewa.

Vinginevyo ukija na "amepata wapi hela mshahara wake tunaujua" unakuwa unaishi maisha ya kizamani ya Kinyerere, ya kutegemea mshahara.

Si ndiyo hayo tunayowasema watoto wa Nyerere hawako competitive?

You just proved my point.

Kama unataka kumsema mtoto wa muungwana fisadi onyesha ufisadi unatokea wapi, hata wewe tukija kukupigia hesabu vitu vyako na mshahara wako vinaweza visioane.

Ufisadi hata mie naupinga, na Kikwete sim mind tangu day one, lakini kuna hii bitterness nai sense hapa ya kwamba kila mtu anayepush BMW fisadi.Hata kama mtu fisadi kweli, justify case yako kwa kutoa a concrete narration kwa nini unasema fisadi.Hizi habari za kumaka tu "fisadi fisadi" kesho keshokutwa utawa group watu wote wenye hela kwenye ufisadi.

Bongo si masikini? Wametoa wapi hela?

Furaha yako wote tuwe masikini?
 
Mh jaman muwe mnamuogopa hata mungu kidogo mnavyoconclude kuwa ridhwan kilaza huku anaonekana anazidi kusonga mbele mnamaanisha nn? ukilaza wake mnaulinganisha na nan kwan lazima kuwe na base? hata ww ukiwekwa na watu wengine utakua kilaza, unaposema kilaza useme kwa kidegree gan? au ni slow learner ndo maana anaitwa kilaza? isitoshe hapo anadiscusiwa ridhwan kama mtoto je kikwete kama baba anaingiaje hapo kama c majungu na wivu! ? 2jaribu kuanalyse mambo kwa kina na kutoa views za maana na sio kua bias hapo 2tajenga na kuonekana wa maana humu azawaizi ss sote vilaza

em mwambie aandike paragraph moja alelezee yeye ni nani na anaamini kwenye nini kwa lugha ya kiingereza ambayo ndiyo inatumika kwenye mambo mengi ya kisheria halaf ilete hapa tuisome...angalizo: asisaidiwe na mtu kuiedit
 
Baada ya kelele nyingi kuhusu ubia wake na kampuni tata ya uwakili ywnye kuhusishwa na ufisadi mkubwa hapa nchini RJK aliamua kujiunga na kampuni hii ya GRK kama mbia(partner) hii ni kampuni ya uwakili inayoundwa na Zephrine Galeba | Projectus Rwehumbiza | James Kabakama | Ridhiwani Jakaya Kikwete


partners.gif



Specialization and Career History

Mr. Kikwete is a young and dynamic legal practitioner with 5 years experience in legal practice having worked with reputable law firms in and outside Tanzania. Before joining GRK Advocates as a partner Mr. Kikwete worked with IMMA Advocates holding different challenging positions from January 2005 to December 2010.
rkikwete.jpg

During the same period Mr. Kikwete was attached to DLA Piper in London, one of ten largest law firms in the world where he was exposed to high level legal practice in the area of project financing.

Both at IMMA Advocates and DLA Piper Mr. Kikwete was involved in various areas of modern day legal practice ranging from legal drafting to major aspects of project financing including due diligence inquiries, loan negotiations, consortium building and mortgage financing. His five years period of his legal practice saw him moving within the ranks of the law firms from legal office to a partner level. Mr. Kikwete is therefore equipped with sufficient administrative as well as technical skills required for running a successful law practice.

Mr. Kikwete was admitted to the bar of advocates in 2009. He is also handling commercial and corporate litigation matters at all levels of court system and quasi- judicial tribunals. At GRK Advocates Mr. Kikwete is a partner in charge of Administration and Business Development.

He is a member of Tanganyika and East Africa Law Societies. Apart from the law degree Mr. Kikwete holds Postgraduate Certificate in Business Development from the Hull University (UK)

Ridhiwani Jakaya Kikwete
Rizi hii resumee yako ni kitu cha kawaida tu ila watu wanashindwa kukutenganisha na ujk. sasa mbona unashindwa kujijengea image separate sio kila saa watu wanakuita mtoto wa rais wakati wewe mtu mzima na ndevu zako.
 
ahahahaha RITZ-ONE= MOKO WA MIUJIZAAAAA...CV yake imependeza ila ni toooo theoretical and no a single trace of practice in a real legal battle fields
ahahaahahaa MOKO WA MIUJIZAAAA
 
kwani riz tajiri? Alisema anamiliki premio tu hana nyumba
 
Jamani tuache wivu, kama upo kwenye kundi la kukosa jitahidi uingie kwenye kundi la kupata kwani nafasi bado unayo na si kupiga madongo tu. Jamaa ni msomi tena wa UDSM, hakuna ujanja ujanja ndani ya UDSM, ukubali au ukatae.
waytu wamesoma ma harvard ma oxford ma cambridge wewe unaleta mambo ya udsm? Bwegge wewe vijisenti kaschool harvard kafanya nn? Si mwizi tu. Mibwegge kama wewe ndio maana hamna umeme pumnbavu kabisa
 
Mkuu Petro E. Mselewa, kuwa wakili, sio lazima usimamie kesi mahakamani!. Labda kwa taarifa tuu, kuna mawakili wanao simamia kesi mbalimbali, hawa wanaitwa wanafanya kazi za "litigations", na mawakili wengine wanatoa "legal opinions". Hao mawakili wa litigations ndio hao mnawasikia kila siku wakikimbizana na vi kesi kesi mahakamani, na ndio least paid!. Mawakili wa "legal opinions" huwezi kuwasikia, ila utawatambua tuu kwa mashine zao mabarabarani, posh ofices zao na mahekalu yao!.

The richest law firm in Tanzania, used to be Mkono & Co, na wakili tajiri kuliko wote Tanzania ni Nimrod Mkono!, niambieni ni kesi gani mlimsikia ameshinda?!. Real money lies kwenye "legal opinion" na sio kwenye "litigations!"

Just imagine wakili aliyesimamia mkataba wa bomba la gesi la deal ya dola bilioni 1.2, lets say legal fee yake ni just 01.%, atavuna dola milioni 1.2 in just one single transaction!, atakuwa wapi?!.

Natoa wito kwa wana jf, tupunguze wifu wa kike!, sasa inaonekana kama obsession fulani kuwaonea wivu wale wenye nacho hivyo kukesha kuwasema vibaya hadi kwa wengine kuonekana kama chuki binafsi!.

Just do all you can to "get rich!, or die trying!".

Pasco.
My learned brother Pasco, I am afraid,you missed my point. I know that we have Lawyers,Advocates and Practitioners.

As his advertising folio suggests,Mr Ridhiwani Kikwete is a 'dynamic practitioner'.What does it mean? It means,Mr Kikwete practices the law. To my narrow understanding,'practice' must include appearing in courts of law to practice. It is not otherwise. That is my firm understanding and belief.

Is giving legal opinions 'a practice'? I should not easily agree. By the way, I was not born to be jelous to anyone,be it Mr Ridhiwani Kikwete or whomsoever. I am jelous to myself...earger to learn,understand and move forward.

Submitted Sir!
 
Hivi una hakika kama Mkapa ana mtoto? Utawala wa Nyerere watoto wake wangepata wapi nafasi ya kufisadi nchi wakati hata mke wake hakuachiwa upenyo huo? Tafakari kabla ya kuandika.

Watoto wa Vigogo BOT
Salama Ali Hassan Mwinyi
Filbert Tluway Sumaye
Zaria Rashid Kawawa
Blasia William Mkapa
Herriet Marten Lumbanga
Pamela Edward Lowassa
Rachel Muganda
Salma Omary Mahita
Justine Mungai
Kenneth Nchimbi
Violet Philemon Luhanjo
Liku Kate Kamba
Thomas Mongela
Jabir Abdallah Kigoda

samahani kama data zangu zitakuwa outdated. Niko tayari kusahihishwa.

Labda ungetueleza Hussein Mwinyi amependelewa vipi kuwa Waziri wa Afya wakati yeye ni mbunge na ni Daktari MD?
amesoma Uturuki na Internship amefanyia Muhimbili, hebu nieleze hapo anabebwaje?

Mkuu Matola huyu Hussein Mwinyi kwanza alikimbia JKT na kwenda Uturuki wakati kipindi hicho tulilazimika kwenda JKT ili kupata cheti ambacho ilikuwa ni lazima upate ili kuendelea na elimu ya juu. Baada ya kuwa mbunge wa Mkulanga 2000, hapo hapo akapewa cheo na kuwa naibu waziri wa afya na kuanzia hapo amekuwa akibadilisha wizara kama shati pamoja na kuboronga kwenye baadhi ya wizara. Hii inasema nini?.
 
Ww acha ujinga!hivi ni wangapi wamesoma vzr kuliko hata hyo riz na hawapati/wananyimwa haki zao za msingi mf🙁kupandishwa vyeo,na fursa mbalimbali n.k?)bt yy anapewa simply coz ni prince!?
...usitufanye hatujui bana
We mwalimu christine ibrahimu mbona una hasira sana leo? In maana mpaka leo hujapandishwa cheo tu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom